E-Sir : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
wiki |
Kuboresha kiasi |
||
Mstari 11:
|Miaka ya kazi = 2001-2003
}}
'''Issah Mmari''' (
E-Sir alikufa katika ajali ya barabarani tarehe 16 Machi 2003, akiwa na mwenzake [[Nameless]]. Alikuwa njiani kutoka mji wa [[Nakuru]] ambapo alipokuwa ameenda kupigia upato albamu yake. Mashabiki wake walikuwa na huzuni na mshangao mkubwa baada ya kusikia juu ya msanii huyu shupavu. Hasaa hii ni kwa sababu kifo chake kilikuja wakati nyimbo zake zilikuwa zimeanza kufana sana nchini. Nyimbo zilizojulikana zaidi ni kama "Mos Mos," "Boomba Train," "Hamunitishi" na "Leo ni Leo." Kuna wimbo mmmoja uliotokea baada ya kifo chake.Wimbo huo alifanya na [[Nameless]] na unaitwa "Maisha".
Mstari 17:
Ndugu ya E-sir mdogo [[Habib]] pia ni msanii na pamoja na Manga wametoa nyimbo kadhaa kama"dunda" na "fever"
== Albamu ya
'''Nyimbo kwenye Albamu'''
|