Kituruki : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
Kituruki - Kiturki
No edit summary
Mstari 1:
[[Picha:Usambaji wa Kituruki.png|thumb|350px|Usambaji wa wasemaji wa Kituruki]]
'''Kituruki''' ([[jina]] asili: Türkçe, ing.kwa [[Kiingereza]] ''Turkish'') ni [[lugha rasmi]] nchini [[Uturuki]]. Ni [[lugha]] yenye wasemaji [[milioni]] 80. Hivyo ni lugha yenye wasemaji wengi zaidi kati ya [[Lugha za Kiturki]] zinazozungumzwa na watu milioni 170 katika [[Asia ya Magharibi]] na [[Asia ya Kati]].
 
Kuna wasemaji nchini Uturuki, kwenye [[kisiwa]] cha [[Kupro]], [[Bulgaria]], [[Ugiriki]], [[Masedonia]] na katika nchi kadhaa zilizokuwa sehemu za [[Dola la Uturuki]]. Kutokana na [[uhamiaji]] wa Waturuki kuna pia wasemaji mamilionimilioni kadhaa katika nchi za [[Umoja wa Ulaya]].
Kituruki cha Uturuki ni lugha kubwa katika kundi la lugha zinazofanana zinazoitwa "Kiturki" (ing. ''Turkic'')
 
Kituruki cha Uturuki ni lugha kubwa katika [[kundi]] la lugha zinazofanana zinazoitwa "[[Kiturki]]" (ing. ''Turkic''). Hivyo wasemaji wa Kituruki huelewana kwa kiasi kikubwa na wasemaji wa [[Kiazerbaijan]], [[Kiturkmen]] na [[Kiqashgai]].
Kuna wasemaji nchini Uturuki, kwenye kisiwa cha [[Kupro]], [[Bulgaria]], [[Ugiriki]], [[Masedonia]] na katika nchi kadhaa zilizokuwa sehemu za Dola la Uturuki. Kutokana na uhamiaji wa Waturuki kuna pia wasemaji mamilioni katika nchi za [[Umoja wa Ulaya]].
 
Wasemaji wa lugha za kiturkiKiturki ziliingiawaliingia katika eneo la Uturuki ya leo tangu [[mwaka]] [[1000]]. Wakati wa [[Dola la Uturuki]] lugha yao ilikuwa lugha ya [[utawala]] na [[fasihi andishi]].
Wasemaji wa kituruki huelewana kwa kiasi kikubwa na wasemaji wa [[Kiazerbaijan]], [[Kiturkmen]] na [[Kiqashgai]].
 
Hadi [[Atatürk]] Kituruki kile kilitumia [[Neno|maneno]] mengi ya [[Kiarabu]] na [[Kiajemi]] kikaandikwa pia kwa [[Alfabeti ya Kiarabu]]. Tangu mwaka [[1923]] lugha imeandikwa kwa [[alfabeti ya Kilatini]] na maneno yenye [[asili]] ndani ya Kituruki yalitafutwa.
Wasemaji wa lugha za kiturki ziliingia katika eneo la Uturuki ya leo tangu mwaka [[1000]]. Wakati wa [[Dola la Uturuki]] lugha yao ilikuwa lugha ya utawala na [[fasihi andishi]].
 
Hadi [[Atatürk]] Kituruki kile kilitumia maneno mengi ya [[Kiarabu]] na [[Kiajemi]] kikaandikwa pia kwa [[Alfabeti ya Kiarabu]]. Tangu mwaka 1923 lugha imeandikwa kwa [[alfabeti ya Kilatini]] na maneno yenye asili ndani ya Kituruki yalitafutwa.
 
==Viungo vya nje==
Line 16 ⟶ 14:
*[http://glottolog.org/resource/languoid/id/nucl1301 lugha ya Kituruki katika Glottolog]
*http://www.ethnologue.com/language/tur
{{mbegu-lugha}}
 
{{DEFAULTSORT:Turuki}}
[[Jamii:Uturuki|Kituruki]]