Kaisari Wilhelm I : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d Bot: Migrating 52 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q150652 (translate me) |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[Picha:Wilhelm1.jpg|thumb|right|Wilhelm I of Germany.]]
'''Kaisari Wilhelm I''' ([[Berlin]], [[22 Machi]] [[1797]] - Berlin [[9 Machi]] 1888) alikuwa [[mfalme]] wa [[Prussia]] kuanzia mwaka 1861 na kuanzia mwaka 1871 [[kaisari]] wa [[Ujerumani]]. Alizaliwa kwa jina la '''Wilhelm Friedrich Ludwig von Preußen
Tangu utoto alilelewa kama mwanajeshi akapewa cheo cha kijeshi kwa umri wa miaka 9. Mwaka 1814 alipokuwa na miaka 17 aliamrisha kikosi cha wanajeshi katika vita dhidi ya [[Napoleoni]]. Mwaka 1829 alimwoa Augusta binti wa mtemi wa Sachsen-Weimar-Eisenach wakapata watoto wawili na mwanawe [[Kaisari Friedrich III|Friedrich]] alimfuata baadaye kama mfalme na kaisari.
Mstari 18:
Pamoja na Bismrck na kulingana na umri mkubwa chini ya uongozi wa chansella huyu aliendelea kutawala hadi kifo chake mwaka 1888.
== Tazama pia ==
* [[Ujerumani]]
* [[Dola la Ujerumani]]
Line 26 ⟶ 25:
== Marejeo ==
{{Reflist}}
{{mbegu-mwanasiasa}}
{{BD|1797|1888|Wilhelm I}}
[[Jamii:Makaizari wa Ujerumani]]
▲[[Jamii:History of Europe]]
▲[[Jamii:Kings and queens of Prussia]]
▲[[Jamii:House of Hohenzollern]]
|