K : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
kiungo |
d Moving from Category:Alfabeti to Category:Alfabeti ya Kilatini using Cat-a-lot |
||
Mstari 29:
Waitalia ya kwanza wakaendelea kutumia alama kwa aina ya "k". Waroma mwanzoni hawakutumia alama hii kwa sababu hawakuwa na "k" jinsi Waetruski walivyoitamka. Kwa sauti ya "k" ya kawaida Waroma walitumia [[C]]. Lakini baadaye baada ya Roma kutwaa na kutawala Ugiriki walianza kutumia maneno mengi ya Kigiriki wakaingiza K ya Kigiriki katika alfabeti yao wakaitumia wka maneno ya kigeni tu.
[[Jamii:Alfabeti ya Kilatini]]
|