Magharibi : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
d Masahihisho aliyefanya 154.70.35.118 (Majadiliano) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na Legobot Tag: Rollback |
||
Mstari 3:
Magahribi ni pia neno la kutaja saa ya sala ya jioni ya Waislamu na sala hii yenyewe.
Jina "magharibi" limetokana na neno la [[Kiarabu]] مَغْرِب ''maghrib'' linalomaanisha sehemu upande wa machweo.
Magharibi kawaida huwa upande wa kushoto kwenye ramani. [[Tanzania]] iko upande mwa magharibi ya [[Bahari Hindi]], [[Burundi]] iko upande wa magharibi ya Tanzania, na nchi ya [[Malawi]] iko upande mwa magharibi ya [[Msumbiji
Kwa maana ya kiutamaduni kuna uzoefu kutaja utamaduni wa Ulaya pamoja na Marekani (ambayo ni mtoto wa utamaduni wa Ulaya) kama "magharibi", kinyume chake ni "mashariki" kwa maana ya [[Asia]].
|