Gujarat : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 4:
'''Gujarat''' ni [[jimbo]] la kujitawala ndani ya [[shirikisho]] la [[Uhindi]].
 
[[Mji mkuu]] ni [[Gandhinagar]] ambao ni [[mji]] mpya uliopewa [[jina]] hilo kwa [[heshima]] ya [[Mahatma Gandhi]] aliyezaliwa [[Porbandar]], jimboni Gujarat. Mji mkubwa ni [[Ahmedabad]], ukifuatwa na [[Surat]].
 
Gujarat ina eneo la [[km²]] 196,024 zinazokaliwa na [[watu]] [[milioni]] 50.
Mstari 10:
[[Lugha rasmi]] ni [[Kigujarati]] inayotumiwa na [[asilimia]] 80 za wakazi.
 
Wengi wao ni [[Wahindu]] (8988.57[[%]]), kuna pia [[Waislamu]] (9.67%) na, [[Wajain]] (10.96%), [[Wakristo]] (0.52%) n.k.
 
{|class="wikitable"