Tianjin : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 17:
}}
'''Tianjin''' (kwa [[Kichina]]: 天津), ni [[mji]] mkubwa katika [[China]] [[kaskazini]].
[[Idadi]] ya wakazi ni 11,760,000 wanaoishi kwenye
Mji huu ulianzishwa [[mwaka]] [[1403]] na [[kaisari]] [[Yongle]] [[kilomita]] 137 kutoka [[Beijing]] karibu na [[mdomo]] wa [[Mto Hai]] katika [[Bahari ya Bohai]].
Tasnia ya kisasa ya mitambo na [[nguo]] ya China ilianza hapa. Tangu mwanzo wa [[Sera ya Mlango Wazi]] mwaka [[1984]], Tianjin iliongezwa maeneo mengi ya [[viwanda]]. Tangu [[1994]] hadi [[2008]], kiwango cha [[pato la taifa]] cha Tianjin kiliongezeka [[asilimia]] 12.5
Tianjin ni pia mahali pa kuanzishwa kwa [[chuo kikuu]] cha kwanza nchini China kwenye mwaka [[1895]]. Mji huo una [[taasisi]] karibu zaidi ya [[elfu]] za
==Viungo vya Nje==
{{Commons
{{Wikivoyage}}
* [https://web.archive.org/web/20130921054614/http://www.tj.gov.cn/english/ Tianjin Government website]
Mstari 37:
* [https://www.youtube.com/watch?v=gKt1PodYyvE Official promotional video of Tianjin City]
{{mbegu-jio-China}}
[[Jamii:Miji ya China]]
|