Nyanda za juu za Brazil : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[Picha:Brasil bergland.jpg|300px|thumb|Ramani ya nyanda za juu za Brazil]]
[[Picha:Arcoverde luftbild.jpg|300px|thumb|Mji mdogo wa Arcoverde katika nyanda za juu]]
'''Nyanda za juu za Brazil''' (kwa {{Lang-pt|Planalto Brasileiro}}) ni eneo kubwa katika [[mashariki]], [[kusini]] na katikati ya [[Brazil]]. Eneo lake ni kama [[theluthi]] ya nchi yote na sehemu kubwa ya [[watu]] wa Brazil (190,755,799; ''sensa ya 2010''
== Mgawanyiko mkubwa ==
Kwa sababu ya ukubwa na utofauti wao, nyanda za juu za Brazil kwa kawaida hugawanywa katika maeneo makuu matatu:
* Nyanda za juu za [[Atlantiki]], zinazoenea karibu na pwani ya mashariki ya Brazil, na pamoja na [[Safu ya milima|safu kadhaa za milima]]. Ilikuwa karibu
* Nyanda za juu za Kusini, zinazoendeleza katika sehemu za kusini na kusini-mashariki mwa nchi. Kuna [[ardhi]]
▲* Nyanda za juu za Atlantiki, zinazoenea karibu na pwani ya mashariki ya Brazil, na pamoja na safu kadhaa za milima. Ilikuwa karibu kufunikwa kabisa kwa [[msitu wa mvua]] lakini ni asilimia 7.3 tu iliyobaki.
▲* Nyanda za juu za Kusini, zinazoendeleza katika sehemu za kusini na kusini-mashariki mwa nchi. Kuna ardhi ya rutba inayojulikana kama "ardhi ya zambarau".
* Nyanda za juu za Kati, inachukua sehemu za kati za Brazil.
Sehemu ya juu zaidi ya Nyanda za juu za Brazil ni [[Pico da Bandeira]] huko [[Serra do Caparaó]], inayofikia [[mita]] 2,891 [[juu ya UB]].
{{mbegu-jio-Brazil}}
[[Jamii:Jiografia ya Brazil]]
|