Mwanamke : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
Amos maliganya
Tags: Mobile edit Mobile web edit
d Masahihisho aliyefanya 41.222.181.64 (Majadiliano) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na Riccardo Riccioni
Tag: Rollback
Mstari 1:
[[File:Lactancia bebe aire libre.jpg|thumb|Mama akimnyonyesha mwanae.]]
SIFA ZA WASICHANA WANAOSOMA VETA:
[[File:Paula Khan.jpg|thumb|Mwanamke [[mwanabiolojia]] akimpima [[kobe]] wa [[Jangwa|jangwani]] kabla hajamuachilia.]]
1.huvaa T-shirt moja kwa week bila kuifua
[[Image:Weaving profile.jpg|thumb|left|Mwanamke akifanya [[kazi]] maalumu ya jinsia yake kadiri ya [[utamaduni]] wa sehemu nyingi.]]
[[Image:Sky spectral karyotype.png|right|thumb|[[Spectral karyotype]] ya mwanamke.]]
[[Picha:Pose.jpg|250px|thumb|right|Vitambulisho vikuu vya kijinsia vya mwanamke.]]
[[Image:Scheme female reproductive system-en.svg|thumb|right|Mfumo wa [[viungo vya uzazi]] wa mwanamke.]]
'''Mwanamke''' ni [[mwanadamu]] wa [[jinsia]] ya kike, kwa maana anafaa kuwa [[mke]]. Ndiyo sababu kwa kawaida anaitwa hivyo aliyefikia [[utu uzima]] au walau ame[[kubalehe|balehe]].
 
Kabla ya hapo huwa anaitwa [[mtoto]] wa kike, binti, mwanamwali au [[msichana]].
2.mara nyingi hutoka jasho kwapani
 
Baada ya kuzaa anaitwa kwa kawaida [[mama]], [[jina]] lenye [[heshima]] kubwa katika [[utamaduni]] wa aina nyingi.
3.hawajijali (hawajipendi)
 
Akianza kupata [[mjukuu|wajukuu]], anajulikana pia kama [[bibi]].
4.huvaa nguo za ndani kwa siku tatu bila kubadilisha
 
Wanawake ni takriban [[nusu]] ya binadamu wote, wengine huwa [[wanaume]]. Ndizo jinsia mbili ambazo zinahesabiwa kwa kawaida kati ya binadamu.
5.nauli ya daladala hulazimisha kulipa 200 kama wanafunzi (wanakaa Seat za wanafunzi)
 
Mwanamke ana [[tabia]] zake za pekee upande wa [[mwili]], [[nafsi]] na [[roho]], na tofauti kati yao na [[wanaume]] hujitokeza kwa namna mbalimbali katika [[utendaji]].
6.hawako romantic kwenye mapenzi
 
Katika maumbile ya [[mwili]] wanawake huwa na [[viungo vya uzazi]] vya kike ambavyo ni vya pekee na kulindwa kwa jumla ndani ya mwili.
7.wana matiti makubwa.
 
Msingi wa tofauti hizo ni hasa [[chembeuzi]] cha jinsia, yaani wanaume wana [[jozi]] la [[chembeuzi X|chembeuzi "X"]] na [[Chembeuzi Y|"Y"]] ndani ya [[seli]] zao zote, lakini wanawake wana jozi la "X" mbili. Chembeuzi Y inabeba habari zote zinazomfanya mwanadamu kukua kama mwanaume badala ya mwanamke.
 
Lakini si tofauti za mwilini pekee zinazosababisha wanawake kuwa tofauti na wanaume. Kuna pia tabia za kiakili na za kiroho za pekee zinazoonekana wazi kati ya wanawake wengi.
 
Hata hivyo tofauti nyingi zinategemea pia [[utamaduni]] kwa sababu mara nyingi watu wamepanga [[shughuli]] na pia namna ya [[maisha]] tofauti kwa wanaume na wanawake, hivyo watu wamezoea kuchukua ma[[tokeo]] ya mapatano hayo kama jambo la kimaumbile hata kama ni la kiutamaduni tu.
 
Pamoja na hayo, kuna wanawake wenye tabia zinazotazamiwa kuwa za kiume. Sababu kuu ni kwamba miili yao huwa na viwango vya homoni tofauti na kawaida. Kuna watu kadhaa wenye mwili wa kike wanaojisikia kuwa wanaume, pengine kutokana na matukio ya utotoni au athari nyingine za [[Saikolojia|kisaikolojia]].
 
== Tazama pia ==