{{Infobox valley|name=Patagonian Desert|area_km2=670000|length_note=|width=|width_mi=|width_km=|width_orientation=|width_note=|area=|area_mi2=|depth=|length_km=|depth_ft=|depth_m=|type=|age=|border=|topo=|traversed=|river=<!-- Below -->|footnotes=|length_orientation=|length_mi=|other_name=|district=|photo=Patagonian.png|photo_caption=A satellite image of the Patagonian Desert by [[NASA World Wind]]
[[Picha:Cerros Madre e Hija.jpg|right|thumb|300px| Sehemu ya jangwa kwenye magharibi ya Mbuga ya Patagonia, ambako mvua inazuiliwa na milima ya Andes.]]
[[Picha:Patagonian_desert_(viewed_from_orbit).jpg|right|thumb|300x300px| Upigaji picha wa angani wa Jangwa la Patagonian (zaidi ya maoni) tofauti na Mto Limay, unaonekana ukiririka mashariki kutoka Andes. ]]
'''Mbuga ya Patagonia''', pia '''Jangwa la Patagonia''' ni eneo kubwa lenye tabianchi yabisi yaani pakavu likiwa na kilometa za mraba 673,000. Linapatikana katika [[Patagonia]] ambayo ni sehemu ya kusini ya [[Argentina]]. Upande wa magharibi unapakanwa na milima ya [[Andes]] na upande wa mashariki na [[Atlantiki|Bahari Atlantiki]].