Josef Stalin : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
Joseph Stalin alikuwa na wake wawili kwa vipindi tofauti ,Mke wa kwanza aliitwa Ekaterine Svanidize(1906-1907),na wa Mke wa pili aliitwa Nadezhda Alliluyeva(1919-1932) na pia alikuwa na watoto watatu walioitwa Yakov Dzhugashvilli,Vasily Dzhugashvilli na Svetlana Alliluyeva . Jina la utani la Joseph Stalin lilikuwa ni 'Koba'
Tags: Mobile edit Mobile web edit
No edit summary
Mstari 1:
[[Picha:JStalin Secretary general CCCP 1942.jpg|thumb|right|Josef Stalin mwaka 1942.]]
'''[[Joseph stalin|''Joseph'']] Vissarionovich Stalin''' (kwa [[Kirusi]]: Иосиф Виссарионович Сталин, (Iosif Vissarionovich Stalin), kwa; jina la kiraia: Джугашвили, (Dzhugashvili), kwa [[Kigeorgia]]: იოსებ ჯუღაშვილი, (Ioseb Jughashvili); (* [[18 Desemba]] <small> (katika [[Kalenda ya Juliasi]]: 6 Desemba)</small> [[1878]] – + [[5 Machi]] [[1953]]) alikuwa [[mwanasiasa]] Mrusiwa [[Urusi]] kutoka [[Georgia (nchi)|Georgia]] aliyeshiriki pamoja na [[Lenin]] katika [[Mapinduzi ya Urusi ya 1917]] na kuwa [[kiongozi]] wa [[chama cha kikomunisti]] halafu kiongozi mkuu wa [[Umoja wa Kisovyeti]] baada ya [[kifo]] cha Lenin.
 
Alitawala Urusi kama [[dikteta]] kwa unyama na kusababisha vifo vya [[Milioni|mamilioni]] ya [[watu]]. Alifaulu kujenga [[uchumi]] na [[jeshi]] la [[Umoja wa Kisovyeti]] na kutetea nchi dhidi ya mashambulio ya [[Ujerumani]] wakati wa [[Vita Kuu ya Pili ya Dunia]]. Alikuwa kati ya washindi wa Vita Kuu ya Pili akapanushaakapanua [[utawala]] wake juu ya nchi za [[Ulaya ya Mashariki]] na [[Ulaya ya Kati|ya Kati]] kama vile [[Poland]], [[UcekiUcheki]], [[Hungaria]], [[Romania]], [[Bulgaria]] na sehemu ya [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kijerumani|mashariki ya Ujerumani]].
 
Stalin alikubaliwa kama kiongozi wa nchi zote za kikomunisti pamoja na [[China]], [[Vietnam]] na [[Korea ya Kaskazini]] hadi kifo chake.
 
Alifuatwa na [[Nikita Krushchov]] kama kiongozi wa [[chama]] na Umoja wa Kisovyeti.
 
Joseph Stalin alikuwa na wake wawili kwa vipindi tofauti: mke wa kwanza aliitwa Ekaterine Svanidize (1906-1907), na wa pili aliitwa Nadezhda Alliluyeva (1919-1932). Pia alikuwa na [[watoto]] watatu walioitwa Yakov Dzhugashvilli, Vasily Dzhugashvilli na Svetlana Alliluyeva.
 
[[Jina la utani]] la Joseph Stalin lilikuwa ni 'Koba'.
 
{{mbegu-mwanasiasa}}
 
{{DEFAULTSORT:Stalin, Josef}}
 
[[Jamii:Wanasiasa wa Urusi]]
[[Jamii:Watu wa Georgia]]
[[Jamii:Waliozaliwa 1878]]
[[Jamii:Waliofariki 1953]]
[[Jamii:Wanasiasa wa Urusi]]
[[Jamii:WatuWanasiasa wa Georgia]]