Issa Michuzi : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 1:
'''Muhidin Issa Michuzi''' (amezaliwa) ni [[mwandishi wa habari]] wa [[Tanzania]] anaejulikanaanayejulikana kupitia [[blogu]] yake iitwayo Michuzi blog. <ref>https://www.voaswahili.com/a/2955423.html iliangaliwa 21 Disemba 2019</ref>
 
'''Muhidin Issa Michuzi''' (amezaliwa) ni mwandishi wa habari wa Tanzania anaejulikana kupitia blogu yake iitwayo Michuzi blog. <ref>https://www.voaswahili.com/a/2955423.html iliangaliwa 21 Disemba 2019</ref>
 
== Maisha yake na kazi ==
Michuzi tangu zamani alikuwa akipendelea kazi ya upigaji picha. Mnamo mwaka 1980 alijiunga na vipindi vya jioni katika taasisi iitwayo [[Goethe-Institut]] [[Dar es Salaam|Dar es salaam]]. Moja kati ya picha alizowahi kupiga ilichaguliwa kwa ajili ya kurasa ya mwanzo wa gazeti la ''[[Daily News (Tanzania)|Daily News]]'' linalomilikiwa na serikali ya Tanzania .

Baada ya hapo aliajiriwa kwa mkataba wa muda mfupi kama [[Stringer (journalism)|stringer]] kwa muda wa miaka mitatu kabla ya kuajiriwa kwa mkataba wa muda mrefu Januari mwaka 1990.<ref name="sporah">{{cite web|url=http://sporahmagazine.blogspot.co.uk/2011/05/exclusive-interview-with-tanzanias-most.html|title=EXCLUSIVE INTERVIEW WITH TANZANIA'S MOST POPULAR BLOGGER ISSA MICHUZI!|last1=|first1=|last2=|first2=|date=May 2011|website=sporahmagazine.blogspot.co.uk|publisher=|accessdate=13 May 2013}}</ref>
 
Mwaka 1992 alijiunga na [[Internationales Institut für Journalismus|chuo cha uandishi wa habari cha Ujerumani]] mjini [[Berlin]]
Line 9 ⟶ 10:
 
== Kazi yake ya uandishi ==
Mnamo Septemba 2005, Michuzi aliungana na [[Jakaya Kikwete]] ambaye kwa wakati huo alikwa nialikuwa Waziri wa mambo ya nje wa Tanzania aliekuwaaliyekuwa akihudhuria [[Helsinki Process on Globalisation and Democracy|Mkututano wa mchakato katika Utandawazi na Demokrasia]] mjini [[Helsinki]] nchini [[Finland]]. Huko likutana na Ndesanjo macha aliemsaidia kuandaa blogi yake.Blogi yake ya kwanza ailitengenezwa tarehe 8 seotemba mwaka 2005. .<ref>{{cite web|url=http://issamichuzi.blogspot.co.uk/2005/09/michuzi-and-ndesanjo.html|title=Michuzi and Ndesanjo|last1=|first1=|last2=|first2=|date=8 September 2005|website=|publisher=[[Michuzi Blog]]|accessdate=13 May 2013}}</ref> .Mathumuni yake yalikua kuwa taarifu wa Tanzania kuhusu habari zinazihusu nchi yao kwa kupitia [[photoblog]].
 
== Maisha binafsi ==
Michuzi znaana kaka wawili , Ahmaad na Othman amabo pia wanashughulika na kazi zao na uandishi Tanzania.Kwa pamoja wametengeneza blogi iitwayo michuzi media Group (MMG).Ni mpenzi wa muziki wa Tanzania [[bongo flava]] ni shabiki wa timu ya [[Liverpool F.C.]].
 
Ni mpenzi wa muziki wa Tanzania [[bongo flava]] ni shabiki wa [[timu]] ya [[Liverpool F.C.]].
== References ==
{{Reflist}}
 
== External linksTanbihi ==
{{Reflist}}
 
== Viungo vya nje ==
* {{facebook|issamichuzi}}
 
{{mbegu-mtu}}
{{authority control}}
 
{{DEFAULTSORT:Michuzi, Issa}}
[[Jamii:Watu walio hai]]
[[Jamii:TanzanianWatu journalistswa Tanzania]]
[[Jamii:TanzanianWaandishi bloggerswa habari]]
[[Jamii:Tanzanian Muslims]]
[[Jamii:University of Dar es Salaam alumni]]
[[Jamii:Year of birth missing (living people)]]