Tabakamwamba : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d Kipala alihamisha ukurasa wa Lithosphere hadi Tabakamwamba |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[Picha::Earth-cutaway-schematic-numbered.svg.png|thumb|350px| Muundo wa [[Dunia]]: 1: Ganda la Dunia (kibahari /1a/ na kibara /1b/ crust 0 to 80 km); 2: Koti ya Dunia (koti ya juu pamoja na tabaka kasi, including asthenosphere, and lower mantle); 3: Core; 3a: Outer core (liquid); 3b: Inner core (solid); 4: Lithosphere (Crust and uppermost solid mantle); 5: Asthenosphere]]
[[Picha:
'''Tabakamwamba''' (ing. ''lithosphere'')<ref>IPA: lith'usfēr,kutoka
Kwenye mpaka kati ya tabakamwamba na koti yenyewe iko tabaka kasiduni (ing. asthenosphere) ambayo ni nyumbufu kiasi.
Mstari 10:
Eneo la tabakamwamba linagawiwa kwa vipande vikubwa ambavyo vinaelea juu ya sehemu moto za ndani. Vipande hivi ni mabamba ya ganda la Dunia au kwa kifupi [[mabamba gandunia]].
==
Kuna aina mbili za
# Tabakamwamba chini ya bahari; mabamba gandunia huachana katika vilindi vya bahari na hapa [[magma|magma joto]] inapanda juu na kujenga hivyo miamba mipya ikipoa na kuganda. Hivyo ganda la Dunia chini ya bahari ina umri mdogo zaidi na unene mdogo wa kilomita 50-100.
# Tabakamwamba ya bara. Hapa tunakuta miamba ya kale zaidi na unene wake ni km 100 hadi 200.
==Mzunguko wa tabakamwamba==
Sehemu kubwa za tabakamwamba ziko katika mwendo wa kutokea na kupotea tena. Kenye vilindi vya bahari ambako mabamba gandunia yanaachana, magma inapanda na kuunda miamba mapya. Mchakato endelevu unasukuma mabamba jirani mbali kutoka mistari hii. Kwa upande mwingine kuna sehemu ambako mabamba yanasukumana na hapa bamba moja husukumwa chini ya bamba jingine na kwa namna hii kuunda mifereji ya bahari. Kadri miamba inazama chini na kuingia katika vilindi enye joto kubwa inayeyushwa tena na kujiunga na magma ya koti ya Dunia.
== Marejeo ==
|