Mwamba (jiolojia) : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[File:DirkvdM rocks.jpg|thumb|Miamba
[[Picha:Logan Rock from below.jpg|thumb|
'''Mwamba''' katika [[jiolojia]] ni namna ya kutaja [[mawe]] au zaidi mchanganyiko au mkusanyiko wa mabao ya aina moja au zaidi ya [[madini]] ulio imara katika hali asilia. Jiwe ni kipande cha mwamba.
Mstari 7:
== Aina za miamba ==
Mwamba hutokea kwa namna tatu:
* [[mwamba wa mgando]]
* [[mwamba mashapo]] hutokea pale ambako miamba inavunjika na kusagwa katika [[mmomonyoko]] na mashapo yanakandamizwa kwa njia ya kanieneo ya mashapo ya juu hadi mashapo kuwa mwamba mapya.
** aina ya pekee ni [[visukuku]] ambayvo ni mashapo yaliyosababishwa na wanyama au mimea itakayokuwa mwamba mashapo baadaye. Mfano: [[makaa mawe]].
|