Beatrix Mugishagwe : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 2:
 
==Maisha yake==
Mugishagwe alisomea utengenezaji filamu [[Ujerumani Magharibi]], alifanyaAlifanya kazi kwenye [[televisheni]] kwa miongo miwili huko [[Ujerumani]] kabla ya kurudi [[Tanzania]] mnamo mwaka [[1994]]. <ref name="SaulAusten2010"/>
 
Alianzisha kampuni yake ya uzalishaji filamu Abantu Visions, na kuandaa makala ya [[Kiswahili]] ya [[mazingira]] yenye sehemu [[ishirini na nne]] pamoja na makala nyingine iliyohusu viongozi wa kike wa Afrika iliyowasilishwa na Bi.Angélique Kidjo. Makala hii ilihusu wanawake kama Ellen Johnson Sirleaf, Graça Machel na Wangari Maathai<ref name="SaulAusten2010"/> pamoja na Imruh Bakari na mhadhiri Augustine Hatar. <ref name="SaulAusten2010"/>
 
Bi. Mugishagwe alihusika katika utengenezaji wa filamu ya ''Tumaini'' (2005). FilamuKupitia ilipokeafilamu hii alipokea kiasi cha $400,000 kutoka ubalozi wa Norway pia filamu ilipokoaAlipokea tuzo ya [[Unicef]] na tuzo ya [[SIGNIS ]].<ref name="SaulAusten2010"/>
 
==Marejeo==