Kalenda ya Misri ya Kale : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
d Kipala alihamisha ukurasa wa Egyptian calendar hadi Kalenda ya Misri ya Kale
No edit summary
Mstari 1:
[[Picha:Senenmut-Grab.JPG|300px|thumb|Kalenda ya Misri ya Kale kwenye ukuta wa kaburi la mwaka 1460 KK]]
'''Kalenda ya Misri ya Kale''' ilikuwa [[kalenda ya jua]] yenye [[siku]] 365 inayoendelea kutumiwa hadi leo katika [[Kanisa la Kikopti]] na pia na wakulima wa [[Misri]].
 
==Ugawaji wa mwaka==
'''Kalenda ya''' '''Misri ya Kale''' ilikuwa [[kalenda ya jua]] yenye [[siku]] 365. Mwaka ulikuwauligawiwa kwa majira matatu ya siku 120 kila moja, pamoja na kipindi cha nyongeza cha siku tano kilichotazamiwa kuwa nje ya mwaka mwenyewe.
 
Majira 3 ya mwaka yalifuata hali ya [[Mto Naili]], yaani
Majira yaligawiwa kwa miezi minne yenye siku 30. Hii miezi 12 hapo awali ilitajwa kwa namba lakini baadaze ilijulikana pia kwa majina ya sherehe zao kuu. Kila mwezi uligawanywa katika miongo mitatu ya siku 10.
*majira ya mafuriko (takribani Juni hadi Septemba)
*majira ya kutokea upya kwa nchi kavu (takribani Oktoba hadi Januari)
*majira ya mavuno (takribani Februari hadi Mei)
 
Ilhali Misri ni nchi penye mvua kidogo mno, mafuriko ya kila mwaka yaliyoleta maji ya mvua kutoka [[Ethiopia]] pamoja na matope yenye rutba yalikuwa msingi wa kilimo katika bonde la Naili hadi kujengwa kwa [[Lambo la Assuan]] mnamo 1960-1970.
Majira 3 ya mwaka yalifuata hali ya Mto Naili, yaani majira ya mafuriko, majira ya kutokea upya kwa nchi, na majira ya mavuno.
 
Majira yaligawiwa kwa miezi minne yenye siku 30. Hii miezi 12 hapo awali ilitajwa kwa namba lakini baadazebaadaye ilijulikana pia kwa majina ya sherehe zao kuu. Kila mwezi uligawanywa katika miongo mitatu ya siku 10.
Mwaka huu ulikuwa karibu robo ya siku mfupi kuliko mwaka wa jua. kalenda ya Wamisri ilipoteza karibu siku moja kila baada ya miaka nne kulingana na [[Kalenda ya Gregori|kalenda]] ya [[Kalenda ya Gregori|Gregori]]. Hali hii ilitambuliwa kama hasara lakini majaribio ya kusahihisha kasoro kwa kuongeza siku ya sita ya nyongeza kila baada ya miaka minne yalishindikana kutokana na upinzani kwa viongozi wa kidini.
 
==Mwaka mfupi==
Sahihisho iliwezekana tu wakati Misri ilitawaliwa na Dola la Roma chini ya Kaisari Augusto.
Mwaka huu ulikuwa karibu robo ya siku mfupi kuliko mwaka wa jua. kalendaKalenda ya Wamisri ilipoteza karibu siku moja kila baada ya miaka nneminne kulinganakulinganishwa na [[Kalenda ya Gregori|kalenda]] ya [[Kalenda ya Gregori|Gregori]]. Hali hii ilitambuliwa kama hasara lakini majaribio ya kusahihisha kasoro kwa kuongeza siku ya sita ya nyongeza kila baada ya miaka minne yalishindikana kutokana na upinzani kwa viongozi wa kidini.
 
Sahihisho iliwezekana tu wakati Misri ilitawaliwa na [[Dola la Roma]] chini ya [[Kaisari Augusto]] mnamo mwaka 24 au 25 BK.
kuanzishwa kwa kalenda ya Alexandria au Coptic na [[Augusto|Augustus]] . Utangulizi wa [[29 Februari|siku ya kurukaruka]] kwa kalenda ya Wamisri ilifanya iwe sawa na [[Kalenda ya Juliasi|kalenda ya Julian]] iliyorekebishwa, ingawa kwa upanuzi unaendelea kupunguka kutoka [[Kalenda ya Gregori|kalenda]] ya [[Kalenda ya Gregori|Gregori]] mwanzoni mwa karne nyingi.
 
==Misingi==
Kalenda ya raia ilianzishwa mapema mapema au kabla ya Ufalme wa Kale, na ushahidi unaowezekana wa matumizi yake mapema wakati wa utawala wa Shepseskaf ( {{c.|2510}}   BC, nasaba ya IV ) na ushuhuda fulani wakati wa utawala wa Neferirkare (katikati ya karne ya 25   BC, nasaba V ). [53] Labda ilikuwa msingi wa uchunguzi wa angani wa [[Shira (nyota)|Sirius]] [13] ambaye kuonekana tena angani kulilingana sana na mwanzo wa wastani wa mafuriko ya Nile kupitia {{Nowrap|4th millennium {{sc|bc}}.{{sfnp|Parker|1950|p=32}}}} ya 5 na {{Nowrap|4th millennium {{sc|bc}}.{{sfnp|Parker|1950|p=32}}}} [chini-alpha 16] Ukuaji wa hivi karibuni ni ugunduzi kwamba siku ya siku 30 ya kalenda ya Mesopotamia ilianza kama kipindi cha Jemdet Nasr (mwishoni mwa milenia 4   BC ), wakati tamaduni ya Wamisri ilikuwa ikikopa vitu na sifa tofauti za kitamaduni kutoka kwa Crescent ya Fertile, ikiacha wazi kwamba uwezekano wa makala kuu ya kalenda yalikopwa katika mwelekeo mmoja au mwingine. {{Sfn|Høyrup}}
Kalenda ilianzishwa mapema wakati wa milenia ya tatu KK. Wataalamu wa Misri ya Kale walitambua kwamba nyota ya [[Shira (nyota)|Shira (Sirius)]] ilianza kuonekana angani kila mwaka wakati huohuo kama kutokea kwa mafuriko ya Mto Naili. Hivyo tarehe ya kuonekana kwa Shira mnamo 19 Juni ilikuwa siku ya mwaka mpya wakati kalenda ilianzishwa; ila tu kutokana na ufupi wa mwaka wa Kimisri Shira ilianza kutokea kabla ya sikuy a mwaka mpya.
 
==Matumizi baada ya Misri ya Kale==
Kalenda iliyobadilishwa ya Wamisri inaendelea kutumika huko [[Misri]] kama kalenda ya Coptic ya Kanisa la Misri na kwa watu wengi wa Wamisri kwa kiwango kikubwa, haswa fellah, kuhesabu misimu ya kilimo. Inatofautiana tu katika enzi yake, ambayo huhesabiwa kutoka kupaa kwa mfalme wa Kirumi Diocletian . Wakulima wa kisasa wa Wamisri, kama watangulizi wao wa zamani, hugawanya mwaka kwa misimu mitatu: msimu wa baridi, majira ya joto, na unywaji wa maji. Inahusishwa pia na sherehe za kawaida kama vile mafuriko ya kila mwaka ya Mto wa Nile na sherehe ya zamani ya Spring ''Sham el-Nessim'' .
Tangu masahihisho chini ya Kaisari Augusto, kalenda iliendelea sambamba na [[Kalenda ya Juliasi]] ya Waroma. Pia baada ya uvamizi wa Waarabu na kuenea kwa Uislamu iliendelea kutumiwa na Kanisa la Kikopti kwa kupanga liturgia na sikukuu zake.
 
Pia wakulima wa Misri, wakiwa Wakristo au Waislamu, waliendelea kutumia kalenda hiyo kwa kukadiria kazi zao zilizotegema majira ya mafuriko ya mto Naili.
== Vidokezo ==
{{Noteslist}}
 
=== NukuuMarejeo ===
<references/>
 
=== Bibliography ===
 
=== Vitabu ===
* {{citation|last=Clagett|first=Marshall|title=Ancient Egyptian Science: A Source Book, ''Vol. II:'' Calendars, Clocks, and Astronomy|date=1995|url=https://books.google.com/books?id=xKKPUpDOTKAC&printsec=frontcover|series=''Memoirs of the APS'', No. 214|location=Philadelphia|publisher=American Philosophical Society|authorlink=Marshall Clagett}}.
* {{citation|last=Everson|first=Michael|title=Encoding Egyptian Hieroglyphs in Plane 1 of the UCS|date=1999|url=https://www.unicode.org/L2/L1999/N1944.pdf|publisher=Unicode}}.
Line 40 ⟶ 48:
* {{citation|last=Vygus|first=Mark|title=Middle Egyptian Dictionary|date=2015|url=http://www.pyramidtextsonline.com/documents/VygusDictionaryApril2015.pdf}}.
 
== ExternalViungo linksvya Nje ==
 
* [http://www.instonebrewer.com/TyndaleSites/Egypt/ptolemies/chron/egyptian/chron_eg_intro.htm Detailed information about the Egyptian calendars, including lunar cycles]
* [http://egypt.online-resourcen.de/content/Date-Converter-Ancient-Egypt Date Converter for Ancient Egypt]