Kalenda ya Gregori : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Tags: Mobile edit Mobile web edit Advanced mobile edit |
No edit summary |
||
Mstari 15:
== Sababu za matengenezo ya kalenda ==
=== Kasoro za Kalenda ya Juliasi ===
Papa Gregori XIII kama [[kiongozi]] wa kiroho wa [[dunia]] ya [[Kikatoliki]] (sehemu kubwa ya [[Ulaya]]) alitaka kusahihisha kasoro zilizoonekana katika kalenda ya awali. Tangu zamani za [[Waroma wa Kale]] [[hesabu]] ya wakati ilifuata [[Kalenda ya Juliasi]] iliyoanzishwa na [[Julius Caesar]] mwaka [[46 KK]]. Kalenda hiyo ilikuwa na tatizo la kuwa urefu wa mwaka wake ulikadiriwa kuwa siku 365.25,
=== Kusogeza kwa tarehe ya Pasaka ===
Mstari 77:
* [[Washairi]] [[Mwingereza]] [[William Shakespeare]] na [[Mhispania]] [[Miguel de Cervantes]] walikufa wote tarehe [[23 Aprili]] [[1616]] ingawa Shakespeare alikufa siku 11 baada ya Cervantes - lakini mmoja alikufa nchini [[Hispania]] (iliyotumia tayari kalenda ya Gregori) na mwingine nchini [[Uingereza]] (bado ilifuata kalenda ya Juliasi)
== Viungo vya
* [http://www.fourmilab.ch/documents/calendar/ Calendar Converter]
* [http://www.bluewaterarts.com/calendar/NewInterGravissimas.htm Inter Gravissimas (Latin and French plus English)]
|