Constantius II : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
(Hakuna tofauti)
|
Pitio la 14:27, 5 Januari 2020
Constantius II (7 Agosti 317 - 3 Novemba 361) alikuwa Kaizari wa Dola la Roma kuanzia 337 hadi kifo chake.
Alimfuata baba yake Konstantino Mkuu akafuatwa na Juliani Mwasi.
Tazama pia
Makala hii kuhusu Kaizari fulani wa Roma bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Constantius II kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |