Njombe (mji) : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
|||
Mstari 18:
}}
'''Njombe''' ni [[halmashauri]] ya [[mji]] wenye hadhi ya [[wilaya]] katika [[Mkoa wa Njombe]] nchini [[Tanzania]] yenye [[postikodi]] [[namba]] '''59100''' <ref>https://www.tcra.go.tz/images/documents/postcode/njombe.pdf</ref>. Ni pia [[makao makuu]] ya [[Mkoa wa Njombe]] na [[Wilaya ya Njombe Vijijini]]. [[Misimbo ya posta]] ni 59101 (mjini, CBD) hadi 59117.
Njombe iko kwenye [[kimo]] cha [[mita]] 2000 [[juu ya UB]] kwenye sehemu ya [[mashariki]] ya [[milima ya Kipengere]],
Hadi [[mwaka]] [[2012]] [[kata]] za mji wa Njombe zilikuwa sehemu ya [[Wilaya ya Njombe]] ya awali; baadaye Njombe Mjini na [[Wilaya ya Njombe Vijijini]] zilitengwa kuwa halmashauri [[mbili]] za pekee. Kabla ya kugawiwa eneo la Njombe
Wakati wa
Wenyeji ni hasa [[Wabena]]. Lakini pia, kuna wingi wa watu wa makabila mengine kama [[Wakinga]] na [[Wapangwa]].▼
[[File:Church in Njombe, Tanzania.jpg|thumbnail|left|Kanisa Kuu katoliki Njombe Mjini]].▼
▲Wenyeji ni hasa [[Wabena]].
▲[[File:Church in Njombe, Tanzania.jpg|thumbnail|left|[[Kanisa Kuu]]
==Usafiri==
[[Barabara]] ya [[lami]] kutoka [[Makambako]] kwenda [[Songea]] inapita mjini. <ref>{{cite web|title=Njombe Roads Network|url=http://tanroads.go.tz/uploads/documents/en/1446621691-Njombe.pdf|website=Tanroads|accessdate=14 February 2016}}</ref>
Kituo cha karibu cha [[treni]] za [[TAZARA]] kipo [[Makambako]]. Pia kuna [[uwanja wa ndege]] eneo la Chaugingi.
Hakuna [[huduma]] ya [[ndege za abiria]].
==Dini==
Njombe ni [[makao makuu]] ya [[Dayosisi ya Kusini KKKT]] ya [[Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania]] na pia ya [[Jimbo Katoliki la Njombe]] ya [[Kanisa Katoliki Tanzania]]. Kuna pia [[Kanisa|makanisa]] mengine na [[misikiti]].
Eneo la Yakobi katika mji wa Njombe linatunza [[jina]] la kituo cha [[Wamisionari]]
==Marejeo==
{{marejeo}}
{{mbegu-jio-njombe}}
▲{{Kata za Wilaya ya Njombe Mjini}} {{mbegu-jio-njombe}}
[[Jamii:Wilaya ya Njombe Mjini]]
[[Jamii:Mkoa wa Njombe]]
|