Zinki : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
 
Mstari 19:
}}
 
'''Zinki''' ni [[elementi]] yenye [[namba atomia]] '''30''' kwenye [[mfumo radidia]], [[uzani atomia]] ni 65.409. [[Alama]] yake ni '''Zi'''.
 
Katika [[mazingira]] ya kawaida ni [[metali]] yenye [[rangi]] ya [[buluu]]-[[nyeupe]]. Kiwango chake cha kuyeyuka ni 1,180 [[C°]].
 
Hupatikana ndani ya [[madini]], haitokei kiasili kama elementi tupu. Huchimbwa hasa [[China]], [[Peru]], [[Australia]], [[Kanada]], [[Marekani]], [[Meksiko]] na [[Afrika Kusini]].
[[Picha:Torun kosciol garn dach.jpg|thumb|left|150px|Mabati ya paa huhitaji zinki.]]
Matumizi ya zinki ni takriban [[tani]] [[milioni]] 11 (kwa [[mwaka]] (2006). Takriban [[nusu]] yake ni kwa kuzuia [[ubabuzi]] (kutokea kwa [[kutu]]) wa [[mabati]] au [[vifaa]] vingine vya [[chuma]] kwa njia ya [[galvania]] n.k..
 
MenginevyoVinginevyo hutumiwa katika [[aloi]] kama [[shaba nyeupe]] na hasa kutengeza [[beteribetri]].
 
{{mbegu-kemia}}