74,339
edits
d (Bot: Migrating 30 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q147403 (translate me)) |
|||
''[[Ichthyophaga]]'' <small>[[René-Primevère Lesson|Lesson]], 1843</small>
}}
'''Furukombe''', '''fukombe''', '''kwazi''', '''yowe''' au '''tai mlasamaki''' ni [[ndege (mnyama)|ndege]]
Ndege hao ni baina ya [[tai]] wakubwa kabisa. [[Uzito]] wao unatofautiana kutoka [[kg]] 2 (furukombe wa Sanford) mpaka 9 (furukombe wa Steller).
[[Unyoya|Manyoya]] yao yana [[rangi]] ya [[kahawia]] mpaka [[nyeusi]] lakini [[kichwa]], [[mkia]], [[kidari]] na [[tumbo]] ni [[nyeupe]] kufuatana na [[spishi]]. [[Furukombe wa Madagaska]], wa Sanford na wa [[Ulaya]] wana kichwa [[hudhurungi]].
[[Spishi]] zote zinatokea karibu na [[maji]] ama [[baridi]] ama ya [[bahari]]. Hula [[samaki]] hasa lakini ndege wengine, [[mzoga|mizoga]] na mara kwa mara [[mnyama|wanyama]] wadogo pia.
Hujenga tago lao kwa vijiti juu ya [[mti]] au [[mwamba]]. Jike hutaga [[yai|mayai]] 1-3.
==Spishi za Afrika==
|