Shairi : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
Nimeongezea kuwa shairi ni sanaa inayoingia katika fasihi andishi na fasihi simulizi.
Mstari 1:
'''Shairi''' ni sehemu ya [[fasihi]]. Mashairi ni [[tungo]] zenye kutumia mapigo ya [[silabi]] kwa utaratibu maalumu wa [[Muziki|kimuziki]] kwa kutumia [[lugha ya mkato]], [[lugha ya picha]] na [[tamathali za semi]].
 
Shairi ndio fasihi pekee duniani ambayo huingizwa katika fasihi andishi na fasihi simulizi.
 
Mashairi huweza kuandikwa au kutungwa kulingana na jinsi yanavyoonekana. hii ina maana kuwa, mashairi huweza kutofautishwa kwa [[idadi]] ya mishororo, jinsi maneno yalivyopangwa, [[urari]] wa [[kina (fasihi)|vina]] na kadhalika.