Shairi : Tofauti kati ya masahihisho

Nimeongezea kuwa shairi ni sanaa inayoingia katika fasihi andishi na fasihi simulizi.
(Nimeongezea kuwa shairi ni sanaa inayoingia katika fasihi andishi na fasihi simulizi.)
'''Shairi''' ni sehemu ya [[fasihi]]. Mashairi ni [[tungo]] zenye kutumia mapigo ya [[silabi]] kwa utaratibu maalumu wa [[Muziki|kimuziki]] kwa kutumia [[lugha ya mkato]], [[lugha ya picha]] na [[tamathali za semi]].
 
Shairi ndio fasihi pekee duniani ambayo huingizwa katika fasihi andishi na fasihi simulizi.
 
Mashairi huweza kuandikwa au kutungwa kulingana na jinsi yanavyoonekana. hii ina maana kuwa, mashairi huweza kutofautishwa kwa [[idadi]] ya mishororo, jinsi maneno yalivyopangwa, [[urari]] wa [[kina (fasihi)|vina]] na kadhalika.