Lugha za Kibantu : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 6:
Uenezi huo unaonyesha kwamba kundi la lugha za Kibantu ni kubwa kabisa [[bara]]ni [[Afrika]], na [[idadi]] ya wanaozitumia ni takriban watu [[milioni]] 310.
 
[[Neno]] '''Bantu''', maana yake ni ''watu'' katika lugha nyingi za kundi hilo. [[Shina]] lake ni ''-ntu'', na [[kiambishi awali]] cha ''ba-'' kinaonyesha [[uwingi]] wa [[viumbehai]]. Kwa sababu hiyo, [[mtaalamu]] [[Wilhelm Heinrich Immanuel Bleek]] (aliyeishi tangu mwaka [[1827]] hadi [[1875]]) alitumia neno hilo kwa kurejea kundi la lugha hizo. Bleek alilinganisha [[sarufi]] za lugha mbalimbali za Kibantu, na baadaye [[Carl Meinhof]] alimfuata katika [[utafiti]] huo.
 
Kuna ma[[mia]] ya lugha za Kibantu; [[wataalamu]] wengine wanahesabu 300, wengine wanahesabu 600. Mtaalamu [[Malcolm Guthrie]] aliziainisha kulingana na maeneo ya ki[[jiografia]]. Kila eneo limepata [[herufi]] yake — A, B, C, D, E, F, G, H, K, L, M, N, P, R na S — na ndani ya kila eneo kuna [[tarakimu]] tena. Pia, Guthrie alichunguza [[lugha ya nasaba]] ambayo ni chanzo cha lugha zote za Kibantu.
Mstari 21:
 
''(Idadi ya wasemaji ni makadirio tu; bado ina tofauti kati ya makala na makala)''
* [[Kiswahili]] na [[lahaja]] zake (wasemaji milioni 150<ref>{{Cite web|title=Swahili|url=https://clp.arizona.edu/swahili|work=Critical Languages Program|date=2016-04-12|accessdate=2020-01-30|language=en}}</ref>) : [[Tanzania]], [[Kenya]], [[Uganda]], [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]], [[Rwanda]], [[Burundi]], [[Komori]], [[Mayotte]], [[Msumbiji]], [[Somalia]].
* [[Kinyarwanda]]-[[Kirundi]] : (wasemaji milioni 15): Rwanda, Burundi
* [[Lingala]] (wasemaji milioni 10): [[Angola]], [[Jamhuri ya Afrika ya Kati]], [[Jamhuri ya Kongo]], Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, [[Gabon]]
Mstari 32:
* [[Chiluba]] (wasemaji milioni 6) : Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, [[Angola]]
 
==Tanbihi==
{{reflist}}
{{mbegu-lugha}}