Virusi vya Corona : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
|||
Mstari 4:
==Tabia za pamoja==
Virusi vya corona huwa na uwezo wa kubadilika na aina nyingi husababisha magonjwa yasiyo hatari sana upande wa binadamu. Kudhoofika kwa mwili kutokana na
Hakuna [[chanjo]] au [[dawa]] ya kudhibiti virusi vya aina hii. Kwa hiyo [[uponyaji]] hutegemea mara kwa mara nguvu ya [[Kingamwili|kinga mwilini]] cha kila mtu. Hii inamaanisha virusi hivi huleta hatari hasa kwa watu wenye kinga cha mwili kilichodhoofishwa.
|