Abia (jimbo) : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
Legobot (majadiliano | michango)
d Bot: Migrating 1 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q320852 (translate me)
No edit summary
 
Mstari 1:
[[Picha:Abia_Nigeria.jpg|thumb|300px|Ramani.]]
[[File:Abia tower.jpg|thumb|left|200px|Abia.]]
'''Abia''' ni [[jimbo]] la kujitawala la [[Nigeria]] lenye wakazi [[milioni]] 4.2 (2005) na eneo la 5,834 [[km²]] 5,834. [[Mji mkuu]] ni [[Umuahia]] na [[mji]] mkubwa [[Aba]] mwenyewenye wakazi 900,000.
 
== Eneo ==
Abia imepakana na majimbo ya Enugu, Ebonyi, Cross River, Akwa Ibom, Rivers, Imo na Anambra. Haina pwani. Mito muhimu ni mto Imo na mto Aba inayoelekea kwenye [[deltapwani]]. ya [[mto Niger]].
 
[[Mito]] muhimu ni [[mto Imo]] na [[mto Aba]] inayoelekea kwenye [[delta]] ya [[mto Niger]].
Kusini ya jimbo ni tambarare ya chini yenye mvua nyingi. Maeneo ya kaskazini ni juu kidogo.
 
[[Kusini]] yamwa jimbo ni [[tambarare]] ya chini yenye [[mvua]] nyingi. Maeneo ya [[kaskazini]] ni ya juu kidogo.
 
== Uchumi ==
Uchmi[[Uchumi]] umetegemea hasa [[kilimo]]. [[Nafaka]], [[minazi]], [[mahindi]], [[mpunga]], [[muhogo]], [[matunda]] na miboga[[mboga]] hulimwa.
 
Kuna pia [[madini]] yanayochimbwa: ni hasa [[zinki]], [[mchanga]], [[chokaa]] pia kiasi cha [[mafuta]] ya [[petroli]]. Abia hukorogwa [[bia]] na kuna [[viwanda]] vya [[nguo]] na [[kioo]].
 
== Wakazi ==
Watu wa Abia ni hasa wa [[kabila]] la [[Igbo]].
 
{{mbegu-jio-Nigeria}}
{{Nigeria}}
{{mbegu-jio-Nigeria}}
 
[[Jamii:Jimbo la Abia]]
[[Jamii:Majimbo ya Nigeria]]