Maradhi ya zinaa : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
Tags: Mobile edit Mobile app edit Android app edit
Tags: Mobile edit Mobile app edit Android app edit
Mstari 109:
Ugonjwa wa [[malengelenge]] katika sehemu za siri husababishwa na maambukizi ya ''herpes simplex virus''(HSV). Aina nyingi za malengelenge huwa ni kutokana na aina ya pili ya HSV (''HSV type 2''). hatahivyo, maambukizi kutokana na aina ya kwanza ya HSV (''HSV type 1'') nayo yapo. Malengelenge katika sehemu za siri husababisha vivimbe vinavyouma vinavyojirudia kila mara, ingawa mara nyingi ugonjwa huwa hauonyeshi dalili kwa muda mrefu. Nchini [[Marekani]], mtu mmoja kati ya watano wenye umri wa zaidi ya miaka 12 ameathirika na HSV, na idadi kubwa ya hao waliambukizwa - karibia asilimia 90 - hawafahamu kuwa wana ugonjwa. Upimaji wa [[damu]] huweza kuonyesha uwepo wa maambukizi ya HSV, hata kama mtu bado hajaanza kuonyesha dalili. Dalili za HSV zinaweza kutibika kwa kutumia madawa ya yanayopambana na virusi kama vile ''acyclovir'', lakini HSV hawawezi kutoka katika mwili - hawatibiki.
 
 
* === UKIMWI ===
{{main|Ukimwi}}
[[UKIMWI]], Ukosefu wa Kinga Mwilini, ni matokea ya maambukizi ya [[virusi vya Ukimwi]] (VVU) - ''Human immunodeficiency virus'' (HIV). [[UKIMWI]] ni ugonjwa wa zinaa hatari na usitibika ambao hushambulia [[mfumo wa kinga ya mwili]] na kumwacha mgonjwa akiwa hana hata uwezo wa kujikinga dhidi ya maambukizi madogo. Maambukizi ya VVU haimaanishi kuwa mtu ana [[UKIMWI]]. Baadhi ya watu na maambukizi ya VVU na wasionyeshe hali ya kuumwa ile inayotambulika kama UKIMWI kwa miaka kumi au zaidi. Watabibu hutumia neno [[UKIMWI]] pale mtu anapokuwa katika hatua za mwisho, zinazotishia uhai za maambukizi ya VVU.