Euphrase Kezilahabi : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
d Protected "Euphrase Kezilahabi" ([Kuhariri=Zuia watumiaji wapya au wale ambao hawajajisajilisha] (bila mwisho))
No edit summary
Mstari 1:
'''Euphrase Kezilahabi''' ([[Namagondo]], [[Ukerewe]], [[13 Aprili]] [[1944]] - [[Botswana9 Januari]], [[9 Januari2020]], [[2020Dar es Salaam]]) alikuwa [[mwandishi]] kutoka nchi ya [[Tanzania]]. [[Lugha ya kwanza|Lugha yake ya kwanza]] ilikuwa [[Kikerewe]] lakini aliandika hasa kwa [[Kiswahili]] ambacho amekipanua kwa kutumia mitindo ya [[lugha]] yake ya asili.
 
==Maisha==
Mstari 6:
Mwaka 1967 alijiandiskisha kwenye [[Chuo Kikuu cha Dar es Salaam]] akasoma ualimu na fasihi hadi digrii ya [[B.A.]] katika mwaka 1970. Mwaka uleule 1970 akawa mwalimu wa shule ya sekondari [[Mzumbe]] ([[Morogoro]]) halafu kwenye shule ya sekondari ya Mkwawa (Iringa).
 
Mwaka 1971 alirudi chuoni Dar es Salaam akawa mhadhiri msaidizi wa chuo alipoandika pia tasinifu ya M.A. kuhusu riwaya za [[Shaaban Robert]], tangu 1974 mhadhiri kamili na 1978 mhadhiri mwandamizi. Akaendelea na masomo ya [[Ph.D.]] huko [[Marekani]] kwenye Chuo Kikuu cha [[Wisconsin]] Madison alipotoa [[tasinifu]] yake mwaka 1985 kuhusu "African Philosophy and the Problem of Literary Interpretation". Sasa (mwakaMwaka 2012) nialikuwa profesa wa lugha za Kiafrika kwenye Chuo Kikuu cha Botswana.
 
Mwaka 2020 aliaga dunia akiwa jijini Dar es Salaam baada ya kuugua kwa muda mrefu<ref>[https://www.bbc.com/swahili/habari-51046765 Profesa Euphrase Kezilahabi: Mwandishi nguli wa vitabu nchini Tanzania aaga dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu], tovuti ya BBC Kiswahili, tar. 9 Januari 2020, iliagaliwa Februari 2020</ref>.
 
==Maandiko==