Mmea : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
n.k to Na kadhalika |
||
Mstari 1:
[[Picha:Diversity of plants image version 5.png|thumb|Mimea]]
'''Mimea''' ni [[moja]] kati ya makundi ya [[viumbe hai]] [[duniani]] ikijumuisha [[miti]], [[maua]], [[mitishamba]]
[[Sayansi]] inayochunguza mimea huitwa [[botania]] ambayo ni kitengo cha [[biolojia]]. Kwenye [[uainishaji wa kisayansi]] mimea hujumlishwa katika [[himaya ya plantae]] kwenye milki ya [[Eukaryota]] (viumbehai vyenye [[kiini cha seli]] na [[utando wa seli]]).
|