Barakoa : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 5:
Ni pia [[nguo]] ya [[wanawake]] wa [[Kiislamu]] ambayo wanaivaa kwenye [[paji la uso|mapaji ya nyuso]] zao pamoja na [[buibui]], ijulikanayo kama "burqa".
Kuna [[barakoa za kinga]] zinazovaliwa kwa shughuli mbalimbali, zinazolenga kuzuia au kupunguza athira hatari za [[vumbi]], gesi, [[hewa chafu]] au [[viini vya ugonjwa]].
{{mbegu-utamaduni}}
|