Mmea : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
n.k to Na kadhalika
No edit summary
Mstari 1:
[[Picha:Diversity of plants image version 5.png|thumb|Mimea]]
'''Mimea''' (kwa [[Kiingereza]]: "plants") ni [[moja]] kati ya [[Kundi|makundi]] ya [[viumbe hai]] [[duniani]] ikijumuishalikijumuisha [[miti]], [[maua]], [[mitishamba]] na kadhalika,. Kuna zaidi ya aina 300,000 ya mimea.
 
[[Sayansi]] inayochunguza mimea huitwa [[botania]] ambayo ni kitengo cha [[biolojia]]. Kwenye [[uainishaji wa kisayansi]] mimea hujumlishwa katika [[himaya ya plantae]] kwenye [[milki]] ya [[Eukaryota]] (viumbehai vyenye [[kiini cha seli]] na [[utando wa seli]]).
 
Kwa hiyo mimea huwa na utando wa seli mwenyewenye [[selulosi]]. Mmea unapata sehemu kubwa ya [[nishati]] kutoka [[nuru]] ya [[jua]] kwa njia ya [[usanisinuru]], yaani hujilisha kwa msaada wa nuru. Ndani ya [[majani]] ya mimea kuna [[klorofili]], [[dutu]] ya [[rangi]] ya [[kijani]], inayofanya [[kazi]] ya kupokea nuru na kupitisha nishati yake kwa sehemu nyingine ya mmea ambakoambamo inatumiwa kujenga [[molekuli]] zinazotunza nishati kwa njia ya [[Kemia|kikemia]] na kutumiwa katika [[metaboli]] ya [[mwili]].
 
Mimea kadhaa imepoteza uwezo wa kutengeneza klorofili ya kutosha, hivyo inajipatia nishati yao kama [[vimelea]] kutoka kwa mimea au viumbehai vinginewengine.
 
Mimea mingi inazaa kwa njia ya [[jinsia]], yaani kwa kuunganisha [[seli]] za kiume na kike; mara nyingi viungo vya kiume na vya kike vinapatikana ndani ya mmea mmoja. Kuna pia mimea inayozaa kwa njia isiyo ya kijinsia, kwa mfano kwa kuotesha [[mzizi]] wa [[hewa|hewani]] ambao unaingia ardhini na kuendelea kama mmea wa pekee.
Mstari 13:
 
Mimea inatoa [[chakula]] kwa [[binadamu]] kama vile [[nafaka]], [[matunda]] na [[mboga za majani]], pia [[lishe]] kwa [[wanyama]] [[Wanyama wa nyumbani|wa kufugwa]].
 
Mimea kwa kizungu ni "plants"
 
== Picha ==
Line 33 ⟶ 31:
</gallery></center>
 
==Tanbihi==
{{reflist}}
{{mbegu-mmea}}