Muungo kemia : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika ''''Muungo kemia''' ''(chemical bond)'' ni kani inayoshikiza atomu, ioni na molekuli na hivyo kuwa msingi wa kutokea kwa kampaundi. Kani hii in...' |
No edit summary |
||
Mstari 1:
'''Muungo kemia''' ''(kwa [[Kiingereza]]: chemical bond)'' ni [[kani]] inayoshikiza [[atomu]], [[ioni]] na [[molekuli]] na hivyo kuwa [[msingi]] wa kutokea kwa [[kampaundi]].
Kani
==Muungo wa ioni==
Muungo ionia unashikiza atomu zake, zinazopatikana kwa [[umbo]] la ioni, kutokana na tofauti ya [[chaji]] za ioni. Hutokea hasa kwenye [[chumvi (kemia)|chumvi mbalimbali]] yaani kampaundi za [[metali]] na [[simetali]] zinazopangwa kwa [[muundo wa fuwele]].
==Muungo wa molekuli (kovalensi)==
[[Picha:Water-2D-dot-cross.png|thumb|Muungo kovalensi
[[Elementi]] simetali zinafanya muungo kwa kushirikiana elektroni kwenye [[mzingo elektroni]] wa nje. Atomu zinaelekea kufikia hali
== Viungo vya
{{wikiquote}}
{{Commonscat|Chemical bonding}}
Mstari 17:
* [http://osulibrary.oregonstate.edu/specialcollections/coll/pauling/bond/index.html Linus Pauling and the Nature of the Chemical Bond: A Documentary History]. Retrieved February 29, 2008.
{{mbegu-kemia}}
[[jamii:Kemia]]
[[Jamii:Atomi]]
|