Misemo : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
d nyongeza ya misemo
No edit summary
Mstari 1:
'''Misemo''' ni kauli fupifupi zinazotumiwa na [[jamii]] ili kusisitiza [[ukweli]] wa jambo fulani. Misemo huunganisha dhana au mawazo mawili kuwa moja. Ni fungu la maneno ambayoambalo hutumiwa na jamii fulani kwa lengo la kutoa msisitizo wa [[maadili]] fulani. Mfano:
 
Mifano:
*''Elimu ni ufunguo wa maisha''
*''Mtu ni afya''
Line 7 ⟶ 9:
*''Hasara roho pesa makaratasi''
*''Kikubwa uhai''
*''Hujafa Hujaumbikahujaumbika''
*''Masikini hana hoja''
*''SamikiSamaki anayefunga mdomo wake hashikwinahashikwi na ndoano ya mvuvi''
 
Msemo unapokuwepo katika jamii kwa muda mrefu halafu ukatoweka basi unaitwa "msimu".