Afrika Kusini : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
d Rais: Cyril Ramaphosa
Mstari 220:
 
==Watu==
Afrika Kusini ina mchanganyiko mkubwa wa watu. Waafrika asili ni [[asilimia]] 80.27, Machotara ni 8.8%, Wazungu ni 87.49%, Waasia ni 2.56%.
 
Wengi (7978.8%) ni [[Wakristo]] wa [[madhehebu]] mengi sana, hasa ya [[Uprotestanti]]; [[Wakatoliki]] ni 76.18%. [[Dini]] nyingine ni: [[UislamuDini za jadi]] (14.54%), [[UhinduUislamu]] (1.26%), [[Dini za jadiUhindu]] (0.31%) na [[Uyahudi]] (0.21%). Asilimia 1512.13 ya watu hawana dini yoyote.
 
Afrika Kusini inaongoza duniani kwa wingi wa watu wenye [[VVU]]/[[UKIMWI]]: mwaka [[2015]] walikuwa milioni 7. Mwaka 2018 silimia 20.4 za watu wenye [[umri]] wa miaka 15-49 walikuwa na [[virusi]] hivyo. Ma[[yatima]] kutokana na [[ugonjwa]] huo ni 1,200,000.
 
== Uchumi ==