Kilatini : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
Mstari 1:
[[Picha:Errare humanum est.jpg|300px|thumb|[[Nahau]] ya Kilatini ("Kukosa ni jambo la kibinadamu").]]
'''Kilatini''' ni [[lugha]] ya [[Historia|kihistoria]] ambayo siku hizi haina tena wasemaji kama [[lugha ya kwanza]], lakini bado hufundishwa katika [[shule]], [[chuo kikuu|vyuo]] na hata kutumiwa kama [[lugha ya pili]]. Ilikuwa pia [[lugha ya kimataifa]] ya [[elimu]] na hata leo [[istilahi za kisayansi|istilahi nyingi za kisayansi]] zimetoka katika Kilatini.
 
'''Kilatini''' ni [[lugha]] ya [[Historia|kihistoria]] ambayo siku hizi haina tena wasemaji kama [[lugha ya kwanza]], lakini bado hufundishwa katika [[shule]], [[chuo kikuu|vyuo]] na hata kutumiwa kama [[lugha ya pili]]. Ilikuwa pia [[lugha ya kimataifa]] ya [[elimu]] na [[istilahi za kisayansi|istilahi nyingi za kisayansi]] zimetoka katika Kilatini.
 
==Historia==
[[Picha:Map-Romance Language World.png|thumb|350px|[[Ramani]] ya uenezajiuenezi wa [[lugha za Kirumi]] za leo zilizotokana na Kilatini.]]
Kilatini kilikuwa [[lugha hai]] takriban kati ya miaka [[500 KK]] na [[600]] [[BK]] na baadaye [[lahaja]] zake mbalimbali ziliendelea na kukomaa kuwa lugha za pekee zinazojulikana kama [[lugha za Kirumi]] , kama [[Kiitalia]], [[Kifaransa]], [[Kihispania]], [[Kireno]], [[Kiromania]] n.k.
 
Kilatini ni pia [[jina]] la [[mwandiko]] au aina ya [[herufi]] ([[alfabeti ya Kilatini]]) inayotumika kwa lugha nyingi [[duniani]]. Hata [[Kiswahili]] huandikwa siku hizi kwa herufi za Kilatini kama kwa mfano ukurasa huu wa [[Wikipedia]].
Line 11 ⟶ 10:
Kilikuwa
* lugha ya [[Dola la Roma]] (angalia pia [[Roma ya Kale]])
* [[lugha mama]] ya [[lahaja]] zilizoendelea na kuwa [[lugha za Kirumi]]
* lugha ya elimu na [[sayansi]] katika [[Ulaya]] kwa [[karne]] nyingi
* [[lugha rasmi]] ya [[serikali]] katika nchi nyingi za Ulaya kati ya mwisho wa Dola la Roma mwaka [[476]] BK hadi mnamo [[1700]] BK
* lugha pekee ya [[liturgia]] katika [[Kanisa la Kilatini]] hadi [[mwaka]] [[1965]]
 
Hadi leo Kilatini ina athira kubwa katika lugha ya [[sayansi]] na [[elimu]]. Hadi leo hufundishwa mashuleni hasa Ulaya. Tena ni
Hadi leo ni
* lugha ya kidini katika [[Kanisa Katoliki]]
* lugha rasmi katika nchi ya [[Vatikano]].
 
Kilatini ina athira kubwa katika lugha ya [[sayansi]] na [[elimu]]. Hadi leo hufundishwa mashuleni hasa Ulaya.
 
==Urithi wa Kilatini katika Kiswahili==
Line 26 ⟶ 23:
 
Mifano:
* [[shule]] limetokana na [[Kijerumani]] "[[:de:Schule|Schule]]" iliyopokelewailiyopokewa kutoka Kilatini "[[:la:schola|schola]]".
* [[gari]] limetokana na [[Kiingereza]] "[[:en:car|car]]" iliyopokelewailiyopokewa kutoka Kilatini "[[:la:carrus|carrus]]".
* [[basi]] limetokana na [[Kiingereza]] "[[:en:bus|bus]]" ambayo ni kifupisho cha Kilatini "omnibus" (maana "kwa wote").
* [[meza]] limetokana na [[Kireno]] "[[:pt:mesa|mesa]]" iliyopokelewailiyopokewa kutoka Kilatini "[[:la:mensa|mensa]]".
* [[familia]] limetokana na [[Kiingereza]] "[[:en:family|family]]" iliyopokelewailiyopokewa kutoka Kilatini "[[:la:familia|familia]]".
* [[mashine]] limetokana na [[Kiingereza]] "[[:en:machine|machine]]" (au kutoka Kijerumani "[[:de:Maschine|Maschine]]") iliyopokelewailiyopokewa kutoka Kilatini "[[:la:machina|machina]]"
 
==Kilatini cha kisasa==
[[Picha:Systema Naturae cover.jpg|thumb|300px|<sup>'''Systema Naturae''' ni [[kitabu]] maarufu kilichoandikwa mnamo mwaka [[1735]] kwa Kilatini na [[Carl Linnaeus]]. Ni msingi wa [[uainishaji wa kisayansi]] wa [[mimea]] na [[wanyama]] hadi leo</sup>]]
Kilatini kilikuwa na upanuzi mkubwa kuanzia [[karne ya 16]]; misingi ya sayansi ya kisasa ilijadiliwa katika [[Ulaya]] kwa Kilatini kilichokuwa lugha ya vyuo vikuu kote Ulaya. Katika [[karne ya 18]] na [[Karne ya 19|19]] [[mataifa]] mengi yalianza kuimarishayaliimarisha lugha zao na kuzitumia kwa ngazi zote za elimu. Lakini [[wataalamu]] wa Ulaya na [[Marekani]] waliendelea kutumia majina ya Kilatini kwa kutaja habari za kisayansi na kubuni majina mapya kufuatana na kanuni za Kilatini kwa kutaja vitu na viumbe vilivyotambuliwa na kuelezwa kisayansi. Kazi hii iliendelea hata wakati matumizi ya Kilatini kama lugha ya kujadiliwakujadiliana yalishafikia mwisho wake.
 
Katika [[karne ya 20]] kulikuwa na harakati ya wapenzi wa lugha kuunda [[misamiati]] ya "Kilatini cha Kisasa" yenye maneno kwa ajili ya mitambo ya kisasa, [[mtandao]] n.k. [[Wikipedia ya Kilatini]] ilifikia makala zaidi ya 130,000 kwenye mwaka [[2019]].
 
== Tazama pia ==