Mwakilishi : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
 
Mstari 1:
'''Mwakilishi''' ni [[mtu]] anayemwakilisha mtu mwingine mahali fulani.Au au ni mtu anayefanya [[kitu]] kwa niaba ya mtu mwingine. Hivyo basi mwakilishi anaweza kufanya kazi zile au zote ambazo zingefanywa na mtu anayemuwakilisha mahali husika na kwa wakati husika.

Wawakilishi wapo wa aina tofauti: kuna mwakilishi wa [[wilaya]] au [[jimbo]], huyu hujulikana kama [[mbunge]]. piaPia kuna mwakilishi wa [[kata]] fulani ambaye hujulikana kama [[diwani]], lakini pia kuna mwakilishi wa [[nyumba]] [[Kumi (namba)|kumi]] huyu hujulikana kama [[mjumbe]].

Wawakilishi wa makampuni[[kampuni]] binafsi na [[serikali hawa]] hujulikana kama [[Wakala|mawakala]].
 
{{mbegu-sheria}}
[[Jamii:sheria]]