Rayvanny : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
spam |
||
Mstari 23:
Baadaye Natafuta Kiki, Sugu ambayo imetolewa kama wimbo wa ziada tu hasa ukizingatia umechukua biti ya Bow Wow (What's My Name). Halafu Mbeleko, Shikwambi, Zezeta na Kijuso aliyoimba na [[Queen Darleen]], Pochi Nene aliyoimba na s2kizzy na baadaye Mwanza wimbo ambao aliimba na msanii mwenzie [[Diamond Platnumz]]. Wimbo huo ulifungiwa na Baraza la Sanaa nchini Tanzania [[BASATA]] kutokana na kutokuwa na [[maadili]] mema hivyo kufanya wimbo huo kufungiwa kupigwa kwenye [[vyombo vya habari]] nchini [[Tanzania]].
Baada ya wimbo huo kufungiwa yeye na Diamond walitoa wimbo uitwao Tetema
==Albamu==
|