Walanyama : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
Jina la Kiswahili
No edit summary
Mstari 4:
 
Ukubwa wao unaanzia kwa [[vicheche]] wadogo kama (Mustela nivalis), mwenye [[gramu]] 25 na [[sentimeta]] 11, hadi [[dubu barafu]] (Ursus maritimus), ambaye anaweza kupima [[kilogramu]] 1,000, na [[Tembo-bahari]] wa kusini (Mirounga leonina), ambao [[wanaume]] wazima wanafikia kilogramu 5,000 (lb 11,000) na [[urefu]] wa [[mita]] 6.9 ([[futi]] 23).
 
Wengi wao hula nyama hasa na hapa iko msingi wa jina la kundi "carnivora" (walanyama). Kuna pia spishi kama [[rakuni]] na [[dubu]] kadhaa ambao hula kila kitu yaani nyama pamoja na matunda, jozi, nafaka na majani kadhaa. Spishi chache zimekuwa walajani kama vile [[Panda|panda]] ambao ni dubu wanaokula [[mianzi]] pekee.
 
 
== Picha ==