Upatanisho wa imani na sayansi : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 2:
Ieleweke mapema kwamba juhudi hizo hazilengi kutunga au kupitisha [[nadharia]] yoyote katika sayansi, ila kuonyesha uwezekano wa kukubali [[Ukweli|kweli]] zilizothibitishwa na [[utafiti]] wa sayansi pamoja na kweli zilizosadikiwa kwa kupokea [[ufunuo]] wa [[Mwenyezi Mungu]].
Juhudi zinapingwa na [[wanasayansi]] wanaoshikilia [[uyakinifu]] na vilevile na watu wenye [[itikadi kali]] katika [[dini]].
==Asili ya suala hilo==
Line 11 ⟶ 13:
===Katika sayansi===
Sayansi imechunguza viumbehai waliopo [[duniani]] sasa na mabaki ya wale waliokuwepo zamani. Hasa baada ya kugundua [[DNA]] imeweza kuona uhusiano kati ya hao viumbehai mbalimbali. Hivyo imethibitisha kwamba [[mwili]] wa [[binadamu]] na ule wa sokwe imetokana na kiumbehai wa zamani (miaka [[milioni]] 5 au zaidi iliyopita) katika mlolongo wa [[mageuko ya spishi]].
Lakini sayansi haiwezi kusema kitu juu ya [[roho]], kwa sababu si [[mata]], hivyo haipimiki. Zaidi sana haiwezi kusema lolote juu ya Mungu ===Katika imani na dini===
Tofauti na
Ni kwamba wanaomuamini Mungu kama [[muumba]] wa vitu vyote, vinavyoonekana na visivyoonekana, si lazima wasadiki kwamba aliviumba vyote kama vilivyo sasa<ref name=collins-def>{{cite journal|doi= 10.1038/442110a|pmid= 16837980|title= Building bridges|year= 2006|journal= Nature|volume= 442|issue= 7099|page= 110}}</ref><ref>Stipe, Claude E., "Scientific Creationism and Evangelical Christianity", ''American Anthropologist'', New Series, Vol. 87, No. 1 (Mar., 1985), p. 149, Wiley on behalf of the American Anthropological Association, [https://www.jstor.org/stable/677678 JSTOR]</ref><ref>{{cite book |last1=Collins |first1=Francis S. |title=The Language of God |url=https://archive.org/details/languageofgod00fran |url-access=registration |date=2007 |publisher=Free Press |location=New York |page=[https://archive.org/details/languageofgod00fran/page/200 200]}}</ref>. La sivyo wangeshindwa kueleza kwa nini watu wa leo wametofuatiana hivi kati yao, wakati wanaaminika wote kuwa [[watoto]] wa [[Adamu]] na [[Eva]]. Mabadiliko yaliweza kutokea kadiri ya [[maisha]] na [[mazingira]] yao, na bado yanazidi kutokea: kwa mfano leo watoto wanakuwa warefu zaidi.
Line 20 ⟶ 24:
''Evolution Vs. Creationism'', [[Eugenie Scott]], Niles Eldredge, p62-63
</ref>.<ref>{{cite journal|url=https://sites.ualberta.ca/~dlamoure/evolutionary_creation.pdf|title=Evolutionary Creation: Moving Beyond the Evolution vs Creation Debate|first = Denis O.|last = Lamoureux|via=ualberta.ca|journal =Christian Higher Education|volume= 9|pages=28–48|doi = 10.1080/15363750903018231}}</ref>
===Katika falsafa===
|