Yohane II wa Yerusalemu : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 1:
'''Yohane II wa Yerusalemu''' ([[356]] hivi – [[10 Januari]] [[417]]) alikuwa [[Patriarki]] wa [[Yerusalemu]] kuanzia [[mwaka]] [[387]] hadi [[kifo]] chake. Alishika nafasi ya [[Sirili wa Yerusalemu|Sirili]] aliyefariki [[386]] (au 387).
 
[[Wataalamu]] wanazidi kukubali kwamba ''Katekesi za Mafumbo'' zilizosemekana kuwa za Sirili, kumbe ni za kwake.<ref>Paul F. Bradshaw, ''The Search for the Origins of Christian Worship'' 2002 ISBN|0-19-521732-2, pag 113</ref>. Ni vilevile kuhusuVilevile [[maandishi]] yake mengine yametunzwa kwa [[jina]] la mtu tofauti kwa kuhofia yatachomwa kutokana na wasiwasi uliojitokeza juu ya [[Imani sahihi|usahihi wa imani]] yake<ref>M. van Esbroeck, ''Dans une Homily géorgienne sur les Archanges'', in ''Analecta Bollandiana'' 89 (1971) 155-176</ref><ref name="homelie">M. van Esbrœck, ''Une homélie sur l’Église attribuée à Jean de Jérusalem'', in ''Le Muséon'', 86 (1973), p. 283-304</ref>.
 
Tangu kale anaheshimiwa na [[Waorthodoksi]] na [[Wakatoliki]] kama [[mtakatifu]].