Vita ya wenyewe kwa wenyewe Burundi : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[Picha:Burundi soldiers.png|thumb|Askari wa Burundi.]]
'''Vita ya wenyewe kwa wenyewe nchini Burundi''' ni [[vita]] iliyodumu katika kipindi cha
Mgogoro huo ulianza baada ya [[uchaguzi]] wa [[vyama vingi]] tangu nchi hiyo ipate [[uhuru]] wake kutoka kwa [[Wabelgiji]] [[mwaka]] [[1962]], vita hiyo ilimalizika baada ya kuapishwa [[Pierre Inakadiriwa [[idadi]] ya watu waliokufa katika vita hiyo ni [[laki]] [[tatu]] (300,000)<ref> "Heavy shelling in Burundi capital". BBC News. April 18, 2008. Retrieved April 27, 2010.</ref> ==Historia==
[[Picha:Burundi_in_its_region.svg|thumb|[[Ramani]] ya Burundi.]]
Kabla ya kutawaliwa na
Burundi ilipata uhuru wake mwaka 1962, kwa kujitoa katika [[shirikisho]] la kikoloni na Rwanda. Mwanzoni nchi huru
Mwaka [[1972]], Wahutu walianzisha shirikisho lao lililoitwa Umugambwe w'Abakozi b'Uburundi au [[Picha:Pierre_Buyoya_at_Chatham_House_2013_crop.jpg|thumb|Meja Pierre Buyoya]]
Mapinduzi ya mwisho yalifanyika mwaka [[1987]] na kumuweka [[afisa]] wa Kitutsi anayeitwa [[Pierre Buyoya]].
Ubadhirifu wa Wakati mabadiliko ya kidemokrasia yalipoanza nchini Burundi miaka ya mwanzoni mwa [[1990]], kiongozi mkuu wa PALIPEHUTU aliamua kushirikiana na chama cha Wahutu kiitwacho [[Front for Democrancy in Burundi (FRODEBU)]], na kushiriki kwa [[amani]] katika shughuli za kisiasa. Wanachama wenye msimamo mkali wa PALIPEHUTU hawakukubaliana na ==Vita==
|