Kipindi cha Pasaka : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
Holder (majadiliano | michango)
d corr using AWB
No edit summary
Mstari 1:
[[Picha:Mwaka wa kanisa.jpg|thumb|right|300px|Kipindi cha Pasaka katika mwaka wa Kanisa kinaonyeshwa na [[rangi]] ya [[njano]].]]
{{Mwaka wa liturujia}}
'''Kipindi cha Pasaka''' ni kipindi maalumu cha [[mwaka wa Kanisa]] katika [[madhehebu]] mbalimbali ya [[Ukristo]].
[[Wayahudi]] wanaadhimisha [[Pasaka]] ya kale, [[ukumbusho]] wa kuvuka pakavu kati ya [[bahari]], kutoka [[utumwa]]ni kuelekea [[uhuru]]. [[Ukristo|Wakristo]] wanaadhimisha Pasaka mpya, ukumbusho wa [[sadaka]] ya [[Agano Jipya]] la milele ambayo pamoja na [[Yesu]] wanavuka toka [[dunia]] hii kwenda kwa [[Baba]]: [[Kristo]] asingefufuka imani hii ingekuwa bure.
 
Ni kwamba [[Wayahudi]] wanaadhimisha [[Pasaka]] ya kale, [[ukumbusho]] wa kuvuka pakavu kati ya [[bahari]], kutoka [[utumwa]]ni kuelekea [[uhuru]]. Kumbe [[Ukristo|Wakristo]] wanaadhimisha Pasaka mpya, ukumbusho wa [[sadaka]] ya [[Agano Jipya]] la [[milele]] ambayo pamoja na [[Yesu]] wanavuka toka [[dunia]] hii kwenda kwa [[Baba]]: [[Kristo]] asingefufuka [[imani]] hiihiyo ingekuwa bure.
 
Maelezo yafuatayo yanatokana na mpango wa [[Kanisa Katoliki]], lakini kwa kiasi kikubwa yanafaa pia kwa [[madhehebu]] mengine, kama vile [[Anglikana]].
 
==Adhimisho==
Wakati wa Pasaka hatusomi Agano la Kale kwa kuwa yaliyotabiriwa nalo yameshatimia katika Kristo. Badala yake tunasoma karibu mfululizo [[Matendo ya Mitume]] yanayoelekeza [[safari]] yote ya [[Kanisa]]. Masomo mengine, [[sala]] na nyimbo vinasema hasa juu ya Kristo kufufuka na kuwa nasi na juu ya [[paji]] la [[Roho Mtakatifu]] alilotupatia.
Kile cha Pasaka, kikiwa na [[siku]] [[hamsini]], ndicho kirefu zaidi kati ya vipindi vikuu vinne vya [[mwaka]] wa [[Kanisa]] (vingine vikiwa [[Majilio]], [[Kipindi cha Noeli|Noeli]] na [[Kwaresima]]).
 
Wakati wa Pasaka hatusomi [[Agano la Kale]] halisomwi kwa kuwa yaliyotabiriwa nalo yameshatimia katika Kristo. Badala yake tunasomayanasomwa karibu mfululizo [[Matendo ya Mitume]] yanayoelekeza [[safari]] yote ya [[Kanisa]]. Masomo mengine, [[sala]] na [[nyimbo]] vinasema hasa juu ya Kristo kufufuka na kuwa nasi na watu wake kwa namna mpya, pia juu ya [[paji]] la [[Roho Mtakatifu]] alilotupatiaalilowapatia.
 
Katika [[maisha]] ya kawaida watu wanafanya [[sherehe]] mbalimbali, si za [[dini]] tu. [[Sikukuu]] yoyote inatokeza [[furaha]] ya kuishi: usipokuwa na mtazamo wa kuridhika na maisha, kumwaga [[pesa]] katika [[anasa]] hakuondoi [[huzuni]] ya kukata tamaa. Sikukuu yoyote ni [[adhimisho]] la pamoja: inatokana na watu kukubaliana katika kujali mambo fulanifulani au walau kuheshimiana; pia inajenga [[jamii]] kwa kurudisha furaha ya kuwa pamoja.
 
Kwa Wakristo sherehe kuu kuliko zote ni Pasaka: ndiyo sikukuu yenyewe ambayo inadumu siku hamsini mfululizo hadi [[Pentekoste]] na inaitwa Dominika kubwa. Kwa kweli Pasaka si sherehe mojawapo tu wala kipindi kimojawapo tu katika [[mwaka wa liturujia]], bali ndiyo [[kiini]] chake, kama vile Dominika (Pasaka ndogo ya kila wiki) ilivyo kiini cha [[juma]] zima. Ni adhimisho la [[uzima mpya]] na wa [[milele]] aliotushirikishaambao Kristo mfufuka anaushirikisha kwa njia ya [[sakramenti]]: [[ubatizo]] na [[kipaimara]] kwa Wakristo wachanga, [[kitubio]] kwa waliobatizwa zamani, hasa [[ekaristi]] kwa wote; humo hatumkumbukiYesu tuhakumbukwi Yesutu, bali tunakutanawaaminu wanakutana naye, hai tena mtukufu. Adhimisho hilo ni la pamoja kwa sababu tumekuwawamekuwa [[moyo]] mmoja na [[roho]] moja katika Kristo kwa kumiminiwa Roho Mtakatifu. Kwa [[kumega mkate]] mmoja tunaimarishawanaimarisha [[ushirika]] wetuwao na kuwajibika kumtambua Yesu katika wale wote tunaokutanawanaokutana nao, hasa [[maskini]].
 
[[Mang’amuzi]] hayo ya [[imani]] yanatuchocheayanachochea kuimba mfululizo, [[Aleluya]]! Bila ya [[shaka]] tunaimbainaimbwa tukiwana watu wakiwa njiani kuelekea kwetukwao: hatujafikiahawajafikia pale tutakapoimbawatakapoimba katika [[heri]] ya [[starehe]] ya milele. TunaimbaWanaimba tusijewasije tukalemewawakalemewa na mzigo wetu wa [[maisha]]. [[Augustino wa Hippo]] anatuonyaalionya: “Imba anavyofanya [[msafiri]]. Imba lakini tembea, usahau [[uchovu]] wako kwa kuimba, lakini jihadhari na [[uvivu]]. Imba na tembea”. Aleluya inatokeza vizuri furaha na [[tumaini]] letu: ndiyo sababu tunaikaririikaririwa sana. Pamoja na hayo, uhuru wetuwa Kikristo unawadai unatudaiwaamini tuushuhudiewAUshuhudie kwa matendo na hasa kwa kuwakomboa [[ndugu]] zetuzao wanaodhulumiwa.
 
Kristo amefufuka kweli na atatufufuaatawafufua sisiwote pia: tutaishiwaamini wake wataishi naye kwa [[Baba]] katika [[umoja]] wa Roho Mtakatifu. Hata sasa yu pamoja nasinao (ndiyo maana ya [[mshumaa wa Pasaka]]). TukiwaWakiwa naye maisha yanatunogeayanawanogea, kwa kuwa yote yameinuliwa tena na kufanywa mapya. TumekombolewaWanaamini wamekombolewa kutoka utumwa wa [[dhambi]] na [[mauti]], tumekuwawamekuwa [[wana wa Mungu]] na kuishi kwa uhuru wa [[upendo]] tukiongozwawakiongozwa na Roho Mtakatifu. Kristo amekuwa [[Bwana]] na anaendelea kueneza ufalme wake. HatuweziHawawezi kuogopa chochote tena kwa kuwa [[historia]] ni yake yeye aliye [[Alfa na Omega]].
 
==Viungo vya nje==
Line 21 ⟶ 26:
*[http://web.archive.org/web/20091027095634/http://geocities.com/hashanayobel/christwrit/liturdays.htm Writings on Easter, Eastertide and Lent liturgical days]
*[http://victorcauchi.fortunecity.com/laudslent/easter0.htm Liturgy of Hours of Eastertide]
{{mbegu-Ukristo}}
 
[[Category:Liturujia]]
[[Category:Mwaka wa Kanisa]]