Diamond Platnumz : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary Tags: Mobile edit Mobile web edit |
d Masahihisho aliyefanya John nyambina (Majadiliano) yalirejeshwa hadi sahihisho la mwisho na Riccardo Riccioni Tag: Rollback |
||
Mstari 11:
|Kazi yake = [[Mwimbaji]]
|Aina ya sauti = "Tenor" ya tatu
|Miaka ya kazi =
|Studio = [[Wasafi Records]]
|Tovuti = [https://www.mrtechsite.com/2019/06/Steps-To-Get-Your-Adsense-Approved-Fast.html/ www.diamondplatnumz.com]]
}}
'''Naseeb Abdul Juma Isaac''' (maarufu kwa [[jina la kisanii]] kama '''Diamond Platnumz'''; majina mengine ya kisanii ni Chibu
Amekuwa na [[nyimbo]] nyingi zikiwa ni pamoja na "Number
Nasibu Juma alishinda tuzo nyingi katika Channel O na Hip-hop Music Awards. Pia alifanya kazi katika Mkutano Mkuu wa Ndugu Afrika Mei [[2012]].
Mstari 24:
Inaaminika kuwa ni msanii anayelipwa kutumbuiza kwenye tamasha kutoka nchini Tanzania kwa bei ya juu kabisa na kwa makampuni ya [[simu ya mkononi]] mwaka [[2013]], pamoja na kuwa kati ya wasanii wanaopata kipato cha juu zaidi katika sekta ya muziki Afrika Mashariki.
Aidha msanii huyu amekuwa hasimu mkubwa wa kimuziki na msanii [[Alikiba]] ijapokuwa wote wawili wamekuwa wakikataa uhasama baina yao wakihamishia tuhuma hizo kwa mashabiki.
==Maisha==
|