Daraja takatifu : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 1:
[[Image:Priestly ordination.jpg|thumb|250px|Askofu anatoaakitoa daraja ya [[upadri]] akizungukwa na mashemasi katika liturujia ya Trento.]]
{{Ukristo}}
Katika'''Daraja takatifu''' katika [[madhehebu]] mbalimbali ya [[Ukristo]] ni [[jina]] la [[vyeo]] vya [[askofu]], [[kasisi]] na [[shemasi]] vinaitwavinavyounda pengine[[uongozi]] '''darajawa takatifu'''[[Kanisa]].
 
Katika [[Kanisa Katoliki]] na ya [[Waorthodoksi]] ngazi hizo tatu zinaunda kwa pamoja mojawapo ya [[sakramenti]] [[Saba (namba)|saba]] ambazo [[Yesu Kristo]] alizianzisha na kulikabidhi [[Kanisa]] lake.
 
Baadhi ya [[Waprotestanti]] wana huduma hizo lakini kwao si sakramenti.
 
==Jina==
Katika [[Kigiriki]] daraja zinaitwa ''taxeis'', na katika [[Kilatini]] ''ordines'', kwa sababu waliopewa wanaunda ''[[kundi]]'' moja.
 
==Ibada ilivyo==
Mstari 57:
[[Category:Liturujia]]
[[Category:Sakramenti]]
[[Jamii:cheo]]