Tsung-Dao Lee : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
(Hakuna tofauti)
|
Pitio la 13:08, 21 Juni 2006
Tsung-Dao Lee (amezaliwa 25 Novemba 1926) alikuwa mwanafizikia kutoka nchi ya China; baadaye alihamia Marekani. Hasa alichunguza vipande vya atomu na nadharia yake. Mwaka wa 1957, pamoja na Chen Ning Yang alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |