Frutuosi, Auguri na Euloji : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'thumb|200px|Sehemu ya [[mchoro wa ukutani ikimuonyesha Mt. Frutuosi, Huesca''']] {{PAGENAME}}''' (walifariki 259) walikuwa Wa...'
 
No edit summary
Mstari 1:
[[image:Fructuosus.JPG|thumb|200px|Sehemu ya [[mchoro wa ukutani]] ikimuonyesha Mt. Frutuosi, [[Huesca]]'''.]]
'''{{PAGENAME}}''' (walifariki [[259]]) walikuwa [[Wakristo]] wa [[Tarragona]], [[Hispania]], waliofia [[dini]] yao kwa kuchomwa [[moto]] katika [[uwanja wa michezo]] wakati wa [[dhuluma]] ya [[kaisari]] [[Valerian]] na [[Galienus|Galieni]].
 
Wa kwanza alikuwa [[askofu]] wa [[mji]] huo, wengine [[shemasi|mashemasi]] wake.
 
Habari za [[kifodini]] chao ziliwahi kuandikwa, na ni za kwanza nchini Hispania<ref>[http://www.ccel.org/ccel/wace/biodict.v.vi.xxv.html Henry Wace, ''A Dictionary of Christian Biography and Literature'': ''s.v.'' "Fructuosus"] The text documents the following details. St. Fructuosus, and his deacons were just going to bed when they were arrested. They were examined, at which point they affirmed their belief in the Christian God. They were then sentenced to be burnt. Officers were posted to prevent any sort of disturbance breaking out. They were not completely successful, though, and near the gate of the amphitheatre some of the Christians were able to get close to Fructuosus, and one of them asked him for his prayers. St. Fructuosus replied, in a voice loud enough for everyone to hear, "I am bound to bear in mind the whole universal Church from east to west." He then added some words of consolation and encouragement to the assembled. As the flames rose and enveloped the martyrs, they stretched out their arms, praying to their God until they died.</ref>, na ni za kwanza nchini Hispania<ref>[http://www.ccel.org/ccel/wace/biodict.v.vi.xxv.html Henry Wace, ''A Dictionary of Christian Biography and Literature'': ''s.v.'' "Fructuosus"] </ref>.
 
Tangu kale wote wanaheshimiwa na [[Kanisa Katoliki]] na [[Kanisa la Kiorthodoksi]] kama [[watakatifu]] [[wafiadini]].
Mstari 20:
 
==Marejeo==
*Attwater, Donald, and Catherine Rachel John. ''The Penguin Dictionary of Saints''. 3rd edition. New York: Penguin Books, 1993. {{ISBN|0-14-051312-4}}.
 
==Viungo vya nje==