Zuzu : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
Tags: Mobile edit Mobile web edit
d Wasifu
Tags: KihaririOneshi Mobile edit Mobile web edit
Mstari 1:
 
'''Zuzu''' ni jina la kata ya [[Dodoma Mjini]] katika [[Mkoa wa Dodoma]] , [[Tanzania]]. Wakati wa sensa iliyofanyika mwaka wa [[2012]], kata ilikuwa na wakazi wapatao 6485 <ref>[http://www.meac.go.tz/sites/default/files/Statistics/Tanzania%20Population%20Census%202012.pdf Sensa ya 2012, Dodoma - Dodoma MC]</ref> waishio humo.Kata ya Zuzu ina jumla ya vijijimitaa vitatu5 ambayo ni Mtaa wa Mazengo, ZuzuMtaa wa Pinda, Mtaa wa Sokoine, Mtaa wa Chididimo na Mtaa wa Soweto.
 
Wakazi wa Kata hii ni Wakulima na wafugaji pia ni Wafanyabiashara.
 
Kata ina Jumla ya Shule 3 za Msingi ambazo ni S/m Zuzu, S/m Chididimo na S/m Soweto ambayo ni mpya kwa sasa.
 
Pia kata ina shule moja ya Sekondari ambayo ni Shule ya Sekondari Zuzu.
 
==Marejeo==