Raia : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary Tags: Mobile edit Mobile web edit |
||
Mstari 8:
Hizo ni aina kuu nne za uraia nchini Tanzania ambazo hapa chini zitaelezwa moja badala ya nyingine.
==Uraia wa kuzaliwa==
Uraia huu hutokana na [[wazazi]] wa nchi moja ambao wameoana na kupata [[watoto]] katika nchi hiyo, kwa hiyo basi mtoto atakayezaliwa atakuwa wa nchi ya wazazi wake. Mfano, kama wazazi ni Watanzania mtoto atakayezaliwa atakuwa Mtanzania.
|