Shaaban (mwezi) : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
|||
Mstari 1:
'''Shaaban''' (
Ilhali ni mwezi kabla ya Ramadani ni pia wakati ambako mwanzo wa [[saumu]]
==Nisfu Shaaban==
[[Siku]] ya 15 ya Shaaban inajulikana kama "usiku wa kumbukumbu" au Laylatul Bara-at <ref>G.E. von Grunebaum, ''Muhammadan Festivals'' (London: Curzon Press, 1976), pp. 53-54.</ref>
▲Bara-at <ref>G.E. von Grunebaum, ''Muhammadan Festivals'' (London: Curzon Press, 1976), pp. 53-54.</ref> However, observance of this day is disputed.<ref>{{cite web|url=http://islamqa.info/en/154850|title=Bid‘ah of Sha‘baan - islamqa.info|work=islamqa.info}}</ref>. Kufuatana na hadith Mtume Muhammad alitaja tarehe hii kuwa siku maalumu hivyo kuna Waislamu wanaoamini ya kwamba usiku huu una baraka za pekee. Wengine hukaa usiku huu pamoja wakisoma Korani na kushiriki katika sala za pekee. Wengine wanapinga ibada hizi.<ref>[https://islamhouse.com/sw/articles/890020/ Fadhila za mwezi wa Shaaban na uzushi wa Nisfu Shaaban], tovuti ya islamhouse.com, iliangaliwa Septemba 2018</ref>
==Sikikuu ya Imamu Mahdi==
[[Washia Ithna ashari]] husheherekea tarehe 15 Shaaban kama sikukuu ya kuzaliwa kwa [[imamu]] wao wa 12 na wa mwisho, [[Muhammad al Mahdi]].<ref>[http://realiran.org/a-dazzling-night-in-iran-embellished-with-spirituality/ A Dazzling Night in Iran Embellished with Spirituality], taarifa ya mwaka 2014 kwenye tovuti ya realiran.org, iliangaliwa September 2018</ref>
==Tarehe zake==
Ilhali
{|border="1" align=center cellpadding="2" cellspacing="0" style="background:#efefef; border: 1px solid #aaa; border-collapse: collapse;"
Line 60 ⟶ 59:
==Marejeo==
{{Reflist}}
==Viungo vya Nje==
*[http://www.staff.science.uu.nl/~gent0113/islam/islam_tabcal.htm Islamic-Western Calendar Converter (Based on the Arithmetical or Tabular Calendar)]
{{Mwakaislamu}}
|