Jon Brower Minnoch : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
Removing Jon_Brower_Minnoch_IMG.jpg, it has been deleted from Commons by Regasterios because: No permission since 22 April 2020.
Mstari 1:
[[Picha:Jon Brower Minnoch IMG.jpg|alt=Jon Brower Minnoch|thumb|Jon Brower Minnoch]]
'''Jon Brower Minnoch''' ([[Septemba 30]], [[1941]] - [[Septemba 10]], [[1983]]) alikuwa [[mwanamume]] M[[marekani]] ambaye, katika [[uzito]] wake wa juu, alikuwa [[binadamu]] mzito zaidi kuwahi kupimwa akiwa na takribani [[Kilogramu|kilo]] 635. [[Takwimu]] hii ilikuwa tu kadirio la karibu kwa sababu ukubwa wake uliokithiri, kupungua kwa [[afya]], na kukosa uwezo wa kujongea ulisababisha kutotumika kwa [[mizani]] wakati wa [[upimaji]].