Gereza : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
Mstari 7:
 
==Etimolojia==
Asili ya neno "gereza" ni [[Kireno]] "[[:pt:igreja|igreja]]" inayomaanisha "kanisa" (la kikristo). Maana imebadilishwa kwa sababu makanisa ya kwanza ya Wareno katika Afrika ya Mashariki yalijengwa ndani ya maboma yao. Kwa hiyo ilhali "igreja" ya Wareno ilikuwa ndani ya jengo imara ya ngome ilitokea ngome yenyewe ikaitwa hivyo. Hapo neno jipya "gereza" lilikuwa na maana ya "boma, ngome". Baadaye ngome hizo hazikuwa tena na kazi ya kijeshi kutokana na maendeleo ya teknolojia ya silaha hivyo yalitumiwazilitumiwa kama jela kutunza wafungwa. <ref>"Etymologically speaking, the Kiswahili word gereza (prison) comes from the Portuguese igreja meaning church. This semantic change can be attributed to hostility greeted on the Portuguese by the then Islamised coastal communities forcing them to build their churches within the precincts of the fortresses." Adika Stanley Kevogo & Alex Umbima Kevogo: Swahili Military Terminology: A Case of an Evolving NonInstitutionalized Language Standard, Research on Humanities and Social Sciences ISSN (Paper) 2224-5766, ISSN (Online) 2225-0484 Vol.4, No.21, 2014, imeangaliwa kupitia https://www.researchgate.net/publication/325157378</ref>
 
Neno "jela" limekopwa kutoka Kiingereza "jail" wakati wa ukoloni wa Kiingereza.